Huyu Floyd Mayweather ni kumuombea afulie tu

Jamaa ana ushamba flani utadhani hizo hela aliziokota tu mahali...kumbe kahustle kuzipata lakini kama hajazizoea hela kabisaa... ushambaa mwingiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata WABONGO wanapost SAHANI YA CHIPS na ROBO KUKU mitandaoni?utawasikia ABOUT LAST NIGHT.... sasa kuna tofauti gn na MAYWETHER?tuache CHUKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wacha USHAMBA,,,DUNIANI inchi nyingi VITU VIPO FIXED PRICE...hakuna nipunguzie,,na vitu vyote VINA BEI TAYARI...hakuna asiyejuwa BEI ya kitu Fulani,,, chukuwa hiyo SAA ya MAYWETHER,,,ingia GOOGLE unaletewa BEI HALISI...kuna gari nimeona kwa 50 CENTS inauzwa DOLARS 3.5 MILLIONS... sasa MTU anazo 10 si balaa hilo MKUU?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamjua Floyd Mayweather vizuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana simjui vizuri. Ila najua networth yake iko katikati ya $700 mil mpaka kukaribia $1B.
Je Wewe unamfahamu Demetrius Flenory aka Big Meech!? Mtu ambaye by 2005 Feds walipomtia mikononi kwao alikuwa ana more than $800 million na mzigo aliokuwa nao at the time ulikuwa ni 500kg of pure cocaine. Achilia mbali mizigo ambayo Feds hawakuwa na taarifa nayo wala pesa ambazo Feds hawakuweza kuzihakiki au kuzikamata!?
Piga hesabu hizo kilo 500 za cocaine ni bei gani!? Na hizo kilo ni zile ambazo Feds walizikamata na kuwa nazo achilia mbali zile coke ambazo walishindwa kumlink nazo direct.
Huyo Mayweather anamjua nakumtambua Big Meech. Uliza kwa Wazee wa Dirty south.
 
Hizi ngozi nyeusi zina kalaana fulani hivi, ila ni zake, mwache afanye anachokitaka, maana wakati anapokea yale.makonde ulingoni wewe hukuwepo!
Mkuu wakati anapokea makonde nilikuwepo, sema maumivu sikuyapata kwasababu mimi nilikuwa mtazamaji tu
 
Mbona maskini wakipost wanakula ugali na samaki chukuchuku matajiri hawatoi povu?
 
Bezos, Bill gates na Zuckenberg nao wakiamua kuonyesha zao je, itakuwaje?

Licha ya kwamba Maywether ni chizi lakini bado maskini tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wote ulio wataja hakuna anayemfikia maiweza kwa feza
Hukumsaidia kutafuta usimpagie ktumia
 
Sasa kuna watu maskini sana hapo us hata Haiti kwann asibaki na saa 3 tu nyingne auze ainue wengine
 
Hao wote ulio wataja hakuna anayemfikia maiweza kwa feza
Hukumsaidia kutafuta usimpagie ktumia

Sijampangia mtu kutumia pesa zake but The one seems to have money because he just likes to show off but I believe there are people who are investing enough and are just silent[emoji57]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jon ukiisikiliza kwa makini video yake huwezi kuhangaika naye... Ni maisha yake muache...
Miaka fulani kuna khanga zilitoka zimeandikwa... USIMWINGILIE ALIYEPEWA KAPEWA
nasi tutumie muda wetu vizuri kutafuta za kwetu tukawaringishie haters

Jr[emoji769]
 
Ha ha,ushamuona anaposoma maandishi au mwandiko wake?...
Wenzetu wanaamini katika kipaji,babake hakuwa baba bora,aliamini kipaji cha mwanawe
na kumjengea misingi......."HATE OR GET INSPIRED"
[emoji123][emoji123][emoji123]hate or get inspired... Haters watamkandia kwa mengi lakini hajali ni maisha yake na ana hela kuliko sisi wote na wengine mamilioni kwa mamilioni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Ni ulimbukeni tuu. Mbona wenzake akina Dr dre pdiddy na jigger wako poa tangu washike hela hadi Leo. Yani aibu
Jon watu hawawezi kufanana hata maramoja
Kuna watu hapa wanaweza kuandika hekima kwakuwa tu hawana kitu mfukoni lakini siku wakizikamata utashangaa

.... Pata hela tufahamu tabia yako....!

Jr[emoji769]
 
[emoji123][emoji123][emoji123]hate or get inspired [emoji23][emoji123]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…