proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
factHivi unaanzaje kuhifadhi vitu vya ajabu kwenye simu? Wenzetu huo ujasiri mnautoa wapi?!! Sio fundi tu, hata ikitokea umeumwa mama yako anashika simu yako anakuta vitu vya ajabu utajisikiaje?
Kuna tabia zingine za hovyo watu waache, ndio hiyo unajikuta umechafua hali ya hewa.
Hofu ilimfanya kipofu kuitafuta haki yake.angeenda kushtaki
True say, privacy inaanza na mtu mmojammoja kwanza. Kama wewe binafsi uliweza kushea picha zako kwanini watu baki wasizishee?Kwa wadangaji sawa wako kibiashara, anamsaidia kutafuta wateja. Si ni kazi yao.
Mtu mwenye akili zako timamu unaanzaje kutuma picha za hovyo kwa mtu ambaye hujui atazifanyia nini?? Muhimu ni kulinda utu wako na kuacha kushea picha au video mbaya.
Ni kosa kisheria kutoweka password kwenye simu yako kama umeitumia kuweka data zako binafsiHabarin wa jf natumaini mko powah kabisa
Huyu fundi simu amenishangaza sana mbaka nimeona nilete uzi huu kwa wale wa hanga wa simu mbovu mnao shinda kwa mafundi iko hivi mimi nina jamaa angu fundi simu wa hapa town maeneo flani iv sasa huwa nakuja hapa mara kwa mara kupiga story na mambo mengine
Nimekaa hapa kama dk 30 iv hakaja mama mtu mzima age 38+ kaleta simu yake imezima haipeleki chaji sasa fundi akamwambia basi ngoja niishugulikie baada ya nusu saa uje uchukue ukiangalia ofisi yenyewe sehemu ya kuka mteja aseme asubiri amna ko lazima aeende arudi basi kama baada ya dk 10 iv simu ikawaka fresh ndo jamaa kunishtua oyah plus njoo uone vitu iv daha jamaa akaanza kunionesha video za utupu ambazo kazikuta kwenye trash ya google photo, watu wengi watumiaji wa simu wanafutaga video kwa mazoea kumbe video zinaeenda trash na kule zinajifuta baada ya siku 60 kwa google photo kama sijakosea
Baada ya kunionesha video na picha jamaa angu akaamia kusoma message aisee hapa nikabaki hoi sasa jamaa mbaka message nikawaza na mimi simu yangu ikiharibika itakuaje na sina tabia ya kufuta message kabisa na kwa huyu jamaa angu inaonekana ni tabia yake maan kanisimulia mambo aliyo yaona kwenye simu ya mzee fulani ninae mfahamu aliyeenda kurekebishiwa simu yake
Niwashauri tu kama unatengeneza simu simamia simu yako ikamilike izo tabia za kumuamini fundi itawa gharimu fundi haaminiki ikiwezekana simu ikiharibika weka ndani nunua simu nyingine
Kuna namna inabidi tuzingatie hivi vitu aiseeHivi unaanzaje kuhifadhi vitu vya ajabu kwenye simu? Wenzetu huo ujasiri mnautoa wapi?!! Sio fundi tu, hata ikitokea umeumwa mama yako anashika simu yako anakuta vitu vya ajabu utajisikiaje?
Kuna tabia zingine za hovyo watu waache, ndio hiyo unajikuta umechafua hali ya hewa.
aiseee kuna wana wanafaidiHuyo hapo demu wa kichaga maamae. Ipo hadi Leo mitandaoni hata nikiposti hanna shida.
View attachment 3010969View attachment 3010970
Kosa linaanzia kwa mwenye simu kwa kuhifadhi picha za ngono kwenye simu Halafu hivi vitu tunavyo tumiana tumiana kwenye mtandao inatakiwa tuwe waangalifu kwa maana hii mitandao siyo ya kwetuangeenda kushtaki
Fundi ni mpumbavu sana!Hii sio sawa kabisa kuingilia faragha ya mtu sio sawa
mzee ume amua u post kabisa dadeqHuyo hapo demu wa kichaga maamae. Ipo hadi Leo mitandaoni hata nikiposti haina shida.
View attachment 3010969View attachment 3010970
Vp ww umezoea kula sungura topeaiseee kuna wana wanafaidi
Sijakuelewa umemaaanisha nnVp ww umezoea kula sungura tope
Nsia huyo na rafiki yake. Mpaka leo video zake zipo. Ila life goes on ana maisha yake na mumewe.Curiousity ipo programmed kwenye akili ya mtu automatically. Kuna demu mmoja alikuwa anasoma SAUTI alipataga hitilafu ya PC yake basi akaipeleka kwa mafundi. Kwa bahati mbaya, kulikuwa na picha video zake za utupu kwenye moja ya mafaili yake. Saa ngapi yule fundi asi-hold kama dhamana. Yaani yule dada alipie hela zaidi ili fundi asisambaze zile picha na video zake. 😌
Umezoea kula watoto wa uswahilini. Manake naona umeshangaa hao mademSijakuelewa umemaaanisha nn
Kulivuka hilo jaribu Mungu alimsimamia sana.Nsia huyo na rafiki yake. Mpaka leo video zake zipo. Ila life goes on ana maisha yake na mumewe.