Huyu fundi wa hizi sarakasi ni nani?

[emoji1][emoji1][emoji1] Kwamba jembe lina tobo...! Na bila tobo wala mpini wa kuchomeka si lolote si chochote?
Kwamba mpini mpini una faida nyingi kwa maana ya matumizi bila jembe!?View attachment 1896418
Mkuu umetishaaa sanaa shida ni hilo tobo lazima lizibwe kwa kuchomekwa mpini hilo jiti kubwa na refuu ndo kazi ifanyike kwa ufasaha yaani KUWEZESHWA.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Siku hiz tunaitia msoga mambo ya mailmoja sio ishu tena
 
BROTHER KAKA! Huu uzi ebu angalia namna ya kuuboresha au kuufuta!

Jeshi la polisi linapomkamata mtu, LAZIMA Limfikishe mahakamani kwa mujibu wa sheria!
Hivyo LAZIMA LIPELEKE USHAHIDI MAHAKAMANI!
Sasa linapokamata watu bila jinai, huko MAHAKAMANI Polisi watatoa ushahidi gani?
HALAFU NDO NYIE NYIE POLISI WAKIBANWA MBAVU HUKO MAHAKANI MNASEMA HAWANA AKILI YA KUTOA UTETEZI!

SIRRO YUPO Sahihi 100% ; Jeshi la polisi pamoja jukumu la ukamataji, lakini hutazama jinai kwanza, kama hakuna jinai hushauri njia nyingine!

KUWA NA NYUNDO haimaanishi Uue kila kitu kwa Nyundo! Wadudu kama Inzi zipo njia zingine za kuwaondoa! Ukitumia Nyundo unaweza hata kuvunja na meza yenyewe!

UZI WAKO UNACHONGANISHA JINSIA NAOMBA UFUTE KWA HESHIMA YAKO MJOMBA WANGU brother kaka

Polisi wanasubili yule mlalamikaji wa video ya ngono! Kama unamjua toa ushirikiano
 
Kwa kusoma hilo bandiko lako ni dhahiri shahiri ww umeegemea upande mmoja, jambo ambalo ni baya kwa mtu mwenye ueledi ambao nazan hauna. Unakumbuka enzi za lugola na yale matamko yake ya kijinga jinga kuamrisha polisi fanya hv fanya vile. Nini kilitokea? Kama hujui taratibu za kijeshi kaa kimya! Jeshi haliongozwi kwa matamko na mipasho juu ya majukwaa.. kama gwjima waziri anajua majukumu yake bas asingetamka huo ujinga kwenye majukwaa angekaa na vyombo vya usalama kisha waandae utaratibu wa kumfikisha kwenye mamlaka husika bishop gwajima ili kujibu hizo tuhuma.
Sasa ww nae huna tofaut na huyo gwajima wazir..unasifia sifia uongoz fulan na kukandia mwingine.
Kikubwa tu hutahasahau alichokufanya jpm. Mana alikuwa mwiba kwako hakika.
Pumzika mwamba umeacha alama.
 
Tuangalie hii hali kwa Jicho la tatu. Usisahau Gwajima ni mjengaji wa hoja. Usisahau ndiye alikshawishi EL kujiunga na Chadema 2015!
Si kila mara atapatia ..na ishu ya EL ilikuwa na viasili vingj
 
Weledi wa jeshi letu ungekuwa hivyo basi mahabusu zetu zisingefurika watuhumiwa wala mahakama zetu zisingekuwa na msururu wa kesi zisizo na kichwa wala miguu
 

Mkuu naunga mkono hoja:

1. "Waziri ni mdomo wa rais, akisema waziri ni agizo la serikali lenye ridhaa ya rais na organs za serikali zinachotakiwa kufanya ni KUTEKELEZA KWANZA!"
2. "Pili mzee Sirro alikuwa kwenye nafasi nzuri kabisa kujibu kuwa wanafanga mawasiliano na wizara au na waziri ..! Full stop!"

Alichokuwa kaongelea Waziri ilikuwa kumhoji Gwajima:

Kumwita akaja mwenyewe wakasalimiana na kisha Gwajiboy akaendelea na hamsini zake wakati wanaweka mambo ndani sawa, hata kama hakupenda kumkamata ilitosha sana. Ila sasa:

Gwajima, Sirro japo mmoja Ang'oke

a) sijapewa barua
b) hata nikipewa barua hadi njijiridhishe
c) mimi ninesikia mitandaoni tu

Ohooo. Hapo Sirro kwa maana nyingine kamdindia waziri. Kwa sababu zake kaidindia serikali.

Kumbe Sirro kidume cha mbegu!
 
Nahisi sirro amechoka kuwa kichaka kwa maovu ya wa2 wengne watakao mgeuka kutetea ugali wao.hii inajidhihrxha waz! Bcoz yeye katoa msimamo kama yeye na familia yake yaan kanisa.sasa wewe unatafuta nini? Na kipi kinakuwasha kufuatilia na kumkamata ni kumpa umaharufu.mwisho wa siku gwajma atakuwa rais.na rais kashashtukia hlo
 
Weledi wa jeshi letu ungekuwa hivyo basi mahabusu zetu zisingefurika watuhumiwa wala mahakama zetu zisingekuwa na msururu wa kesi zisizo na kichwa wala miguu
Kwahiyo hutaki Weledi huo utumike kwa gwajima?
Kama kuna makosa je; unapenda polisi iendeleze makosa?
 
KUDINDA linaweza lisisomeke vizuri! TUMIA NENO WELEDI!
Sirro Katumia WELEDI Kama chombo cha HAKI
 
Hoja kubwa ni maslai, pili kama gwajiboy atakamatwa ujue moto utakaowaka watashndwa kuuzima na pressure hii itakuwa sawa na ya mboe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…