google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Mkuu umetishaaa sanaa shida ni hilo tobo lazima lizibwe kwa kuchomekwa mpini hilo jiti kubwa na refuu ndo kazi ifanyike kwa ufasaha yaani KUWEZESHWA.[emoji1][emoji1][emoji1] Kwamba jembe lina tobo...! Na bila tobo wala mpini wa kuchomeka si lolote si chochote?
Kwamba mpini mpini una faida nyingi kwa maana ya matumizi bila jembe!?View attachment 1896418
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app