Huyu fundi wa hizi sarakasi ni nani?

Kwa usomi wako wote hukung'amua kuwa hilo ni tukio la kutengeneza?
Huyo ni gwajima huwa ni mhuni kabla hata ya ugomvi na bashite kala wanakondoo sana na hyo video alirekodi mwenyewe acheni kumtetea na kujificha eti kachafuliwa yeye ni rijali na sio hanisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahio kanisa ukilifuta unapata relief
Dawa ya moto ni Moto ukitaka kumuua nyoka mgonge kichwani kazi kwishwa atapatia wapi sadaka. Ccm wanafuga dude wakiliacha had 2025 watajua, hawajui loh
 
Huyo ni gwajima huwa ni mhuni kabla hata ya ugomvi na bashite kala wanakondoo sana na hyo video alirekodi mwenyewe acheni kumtetea na kujificha eti kachafuliwa yeye ni rijali na sio hanisi
Kwa vile wew mwanamke umekiri kuwa GWAJI ni RIJALI mimi ni nani hata nipinge?[emoji38][emoji38][emoji38]ntajuaje....@Extrovert
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sirro ameshaona kesho anataka akapumzike amechoka. Wala hakuna jingine uwenda ameumia kubeba mambo yana muharibia ustaafu wake. Mimi huwo ndio muono wangu. Nisawa na RC wa Mwanza alivyo fanya makusudi kusema watu waje na mabango hata ya matusi akatenguliwa akarudi kwao bila wala kelele. Unajuwa wakati mwingine sio lazima kuwa kiongozi. Kinacho endelea kwa sasa ni kikundi cha watu fulani kuwaaribia wenzao kwa jina la jamuhuri. End
 
Weledi wa jeshi letu ungekuwa hivyo basi mahabusu zetu zisingefurika watuhumiwa wala mahakama zetu zisingekuwa na msururu wa kesi zisizo na kichwa wala miguu

Two wrongs doesnt make a right. Jeshi kuwa limefanya hivyo sio justification ya kuendelea kufanya vile vile ili tu kukidhi matakwa fulani. Tunahitaji mabadiliko kwa jeshi letu na labda mabadiliko haya yameanzia kwa Gwajiboy, hivyo Siro yuko sahihi.
Gwajigirl anafahamu kabisa taratibu za kuadabisha wahalifu, so kama anaona kuna uhalali wa hoja yake aende moja kwa moja akafungue kesi dhidi ya Gwajiboy.
Wakati mwingine tumewatwisha sana misalaba yetu jeshi la polisi na kuliacha likilaumiwa kila kukicha..
 
@Mshanajr nakumbuka ulikuwa mmoja wa wadau wa ANAUPIGA MWINGI ila now days na naona akili zimeanza kurudi.
Ni kweli kabisa na bado nina msimamo uleule na wala si kuwa zilinipotea na sasa zimerudi...
Iko hivi kimsingi na kiuhalisia Mamaa yuko njema sana na nia yake ni thabiti sana lakini kazungukwa na nje nzige na tandu... Kwa wote mnaoona kabadilika kuna mengi nyuma ya pazia hamyajui ila muda utasema
 
Mimi kwa mawazo yangu sidhani jinsia imekuwa sababu ingawa ikawa nayo inachangia.
Huyu bwana alikuwa akitoa matamko na yalikuwa yanatoka juu, sasa anaona yanatoka chini,

Huyu Siro alikuwa na lugha za kejeri akijua analindwa na nguvu za juu sasa hakuna tena cha juu bali ni ukweli na uwazi.

Vitisho alivyokuwa anavitoa kwa upinzani bado vinakubalika sawa ila hakuna nguvu za juu zimetajwa kama akina DC aliyeko lupango alivyokuwa anawatisha wapinzani na watu baki.

Siro bado amelewa kileo cha kubembelezwa na mwanakwendazake ili azidi kulindwa na majeshi yote ya nchi hii hata helkopter nasikia zilikuwa zinaruka juu ya msafara kumlinda aliyetangulia bila kumiminiwa risasi kama Lisu.
 
utali Suluhu ni katiba mpya sio the Gwajis n their dramas
 
Kinacho endelea kwa sasa ni kikundi cha watu fulani kuwaaribia wenzao kwa jina la jamuhuri. End[emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji779]
 
Kwa vile wew mwanamke umekiri kuwa GWAJI ni RIJALI mimi ni nani hata nipinge?[emoji38][emoji38][emoji38]ntajuaje....@Extrovert
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ alimtafuna kondoo live live
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alimtafuna kondoo live live
Anatoa huduma za mwili na roho sio?
Lakini tuzipime hoja zake tusijifiche kwenye mapungufu yake...
Gwajigirl alichemka kuikana cirona na leo yuko mbele kushawishi tuchanjwe, ahamishwe Wizara
 
Anatoa huduma za mwili na roho sio?
Lakini tuzipime hoja zake tusijifiche kwenye mapungufu yake...
Gwajigirl alichemka kuikana cirona na leo yuko mbele kushawishi tuchanjwe, ahamishwe Wizara
Gwaji girl kachemkaa
 
Anatoa huduma za mwili na roho sio?
Lakini tuzipime hoja zake tusijifiche kwenye mapungufu yake...
Gwajigirl alichemka kuikana cirona na leo yuko mbele kushawishi tuchanjwe, ahamishwe Wizara
Huu ubini wa Gwajima una shida nadhani kwenye kizalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…