Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Bongo movie zimetoka bungeni sasa zinatufata tulipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaanza kuzitumia lini? Kwa Gwajima... Je kulikuwa na umuhimu gani kueleza hayo kwa waandishi wa habari? Ninini maana ya internal communication Kati ya viongozi?Kwa thread hii umeniangusha M/KITI.Alichosema IGP ni sahihi kabisa,taratibu zifuatwe wala hajamdharau huyo mama.
Kumbe anadharau kauli za Mawaziri wanawake?Mzee kigagula ni vizuri tuangalie na mikoa hao watu walipotoka, maana itikadi za mikoa yao mwanamke si lolote si chochote.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Hii deep state yetu mmh..pengine kweli ila sidhani.. Maana kama kweli wako deep hawawezi kutumia mbinu shallow kama hiziKuhusu gazeti la chama!!Deep state walitaka kujua kama mama atagombea au hatogombea!!sasa wamejua atagombea kwa reaction za shaka!!!SASA DEEP STATE INAANZA KUCHANGA KARATA ZAKE UPYA!!NA NAAMINI WATAMTAFUTA MSUKUMA MWINGINE ILI KUKATA KIU YA KANDA YA ZIWA KWA HITILAFU ILIOJITOKEZA!!!!!
Kuhusu gazeti la chama!!Deep state walitaka kujua kama mama atagombea au hatogombea!!sasa wamejua atagombea kwa reaction za shaka!!!SASA DEEP STATE INAANZA KUCHANGA KARATA ZAKE UPYA!!NA NAAMINI WATAMTAFUTA MSUKUMA MWINGINE ILI KUKATA KIU YA KANDA YA ZIWA KWA HITILAFU ILIOJITOKEZA!!!!!
Nakazia, hapa mvhawi amewanga mchanaMkuu with due respect hapa umechemka kwa kifupi Doroth kapuyanga big time.
Suala la kuwa mwanamke halina mashiko.
Eeh jembe ni useless bila kupigwa mpini 😂[emoji1][emoji1][emoji1] Kwamba jembe lina tobo...! Na bila tobo wala mpini wa kuchomeka si lolote si chochote?
Kwamba mpini mpini una faida nyingi kwa maana ya matumizi bila jembe!?View attachment 1896418
Atapigwa spana na askof chidi mpaka akimbilie dawati la jinsia 😂Mkuu with due respect hapa umechemka kwa kifupi Doroth kapuyanga big time.
Suala la kuwa mwanamke halina mashiko.
Sijui Next Sunday nikashuhudie vita?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atapigwa spana na askof chidi mpaka akimbilie dawati la jinsia [emoji23]
Lazma ataliamsha dude yule msukuma hawez kumuacha mama ashinde kizembe😂Sijui Next Sunday nikashuhudie vita?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]