Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NadhaniHuyo ni mpiga debe wa Daladala za Mbagala maji matitu to Vingunguti..
Pia ni mnywa kahawa mzuri za magengeni ndio maana kila anachosikia huko analeta humu.
Mi mwingine ni member wa siku nyingiHalafu huu uandishi ni mnafanana nae sana.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Sijui ndio we mwenyewe.!
Ningependa tukutane, namadmire sana.mtu poa sana huyo jamaa
Wadau msimlaumu mtu huyu. Mimi ni mtu mwingine na sio Gentamycine. Nipo srious.umeamua kujifungulia uzi mwenyewe na kujisifia ? kweli multiple IDs hazijawahi kumuacha mtu salama....
huyo unaemsifia ambaye ni wewe ni ndezi tu
Mbona huu kama ni mwandiko wake!Wadau habari zenu.
Twende moja kwa moja kwenye mada. Huyu Gentamycine amekuwa mwandishi mahiri huku JF mwenye hoja motomoto. Lakini pia hatabiriki vizuri na vigumu kumuelewa msimamo wake kwa sasa.
Huyu mimi nafikiri ni jasusi wa TISS, Mwandishi habari makini, au kiongozi serikalini au mtu wa kawaida vijiweni aliyesoma kiasi Fulani na hupenda kujichanganya sana.
Je wewe mwenzangu unamwonaje mtu huyu?