Huyu Gentamycine wa JF ni nani haswa?

Huyu Gentamycine wa JF ni nani haswa?

Nitafurahi sana mkuu, uandishi wako na paskali nimeupenda. Ni kwa mazuri tuu nataka tuonane

Akhsante na usijali Mkuu ipo siku tu utaniona au tutaonana. Nimefurahi pia kunipongeza Mimi na ' Kamarada ' wangu ' Kitasnia ' Kaka yangu na mkubwa wangu katika ' Fani ' Pascal Mayalla ambaye hata Mimi bado naona sijamfikia Kiuandishi na bado najifunza mengi kutoka Kwake. Namkubali mno Kaka yangu huyo Paskali.
 
Soma post yangu # 56 nimewajibu ' Wapuuzi ' wote na labda nikupe tu pole Wewe Mkuu kwa kuanzisha ' uzi ' wa Kunisifia na Kunikubali ambao kuna Watu wenye chuki, wivu na husuda na uwepo wangu humu na hii ID wamekasirika na kudhani kuwa Mimi ni Wewe na kwamba nimejianzishia mwenyewe huu uzi.

Na nimewataka Moderators na Wamiliki wa JamiiForums wafanye ' Uchunguzi ' wao wote na kama ikiwa ni kweli kwamba Mimi ndiyo mwenye hii ID basi nawaruhusu upesi sana wanifute Mimi kuwepo humu Jamvini Kwao milele daima. Nimechoka kuzushiwa kila uchao kuhusu Multiple ID's na labda nikuambie tu kwamba kama ungeanzisha huu uzi wako na kunisema au kunizungumzia Mimi vibaya hizo hisia za kwamba Wewe ndiyo Mimi na nimejianzishia uzi usingezisikia. Nyota yangu inawatesa mno Watu na ndiyo maana nawaambia kuwa GENTAMYCINE ni ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
Nimekuelewa sana ndugu, hata Mimi nimepokea kashfa kuhusu Uzi huu na nashukuru kuja humu ujue natamani sana uandishi wako na kama binadamu naamini ipo siku tutakutana. Pia humu kuna watu wakiona unataka umwone member mwenzio wanajua una nia mbaya.
 
Nawaomba Moderators na Wamiliki wa JamiiForums fanyeni ' Utaalam ' wenu wote mnaoujua na kama ikiwa ni kweli Mimi GENTAMYCINE nina hii ID na nimejianzishia huu ' uzi ' mnifungie ' permanently ' Mimi kuwepo humu Jamvini. Halafu ifike muda Watu muache chuki na uswahili uliotawaliwa na Wivu kwa kudhani kuwa Mtu yoyote anayeuliziwa humu basi anajipigia ' Promo '. GENTAMYCINE sina haja ya Kujipigia ' Promo ' kwani Mimi tayari ni ' Promo ' tosha na ni maudhui yangu na uandishi wangu humu ambao mara nyingi huwa nauchanganya na ' ukomedi ' wangu wa asili ndiyo huwavutia Watu wengi hadi kupelekea Wao Kunipenda, Kunikubali na wengine kila Uchao ' Kunifolo '.

Na ndiyo maana hata Signature yangu tu inamajibu ya kutosha Kwenu ' Wanafiki ' wote inayosema ' Purely Talented and Charismatic Fella '.

Aliyebarikiwa kabarikiwa tu halafu ' Nyota ' ya Mtu inayong'aa kila Kukicha huwezi kuizima hata ufanyeje na msinichukie Mimi kuwa Kipenzi cha Members wengi hivi bali jiulizeni nyie ' mnaonichukia ' na kusema huu ' uzi ' nimejianzishia mwenyewe kwamba kwanini hamkubaliki kama GENTAMYCINE huku wengine mkiwa na muda mrefu humu JamiiForums kuliko Mimi niliyejiunga rasmi humu mwaka 2013.

Na kwa taarifa yenu tu ni kwamba kadri mnavyozidi ' Kunichukia ' na kunionea ' Kijicho ' humu ndiyo mnazidi kunifanya niwe ' maarufu ' na niwe mbunifu wa kuja na mada mbalimbali motomoto ambazo zinazidi kunifanya niwe tofauti na nyie. Waswahili ni Waswahili tu siku zote.
Maneno kuntu mkuu, watakubalikaje ilihali hawaonekani
 
Nawaomba Moderators na Wamiliki wa JamiiForums fanyeni ' Utaalam ' wenu wote mnaoujua na kama ikiwa ni kweli Mimi GENTAMYCINE nina hii ID na nimejianzishia huu ' uzi ' mnifungie ' permanently ' Mimi kuwepo humu Jamvini. Halafu ifike muda Watu muache chuki na uswahili uliotawaliwa na Wivu kwa kudhani kuwa Mtu yoyote anayeuliziwa humu basi anajipigia ' Promo '. GENTAMYCINE sina haja ya Kujipigia ' Promo ' kwani Mimi tayari ni ' Promo ' tosha na ni maudhui yangu na uandishi wangu humu ambao mara nyingi huwa nauchanganya na ' ukomedi ' wangu wa asili ndiyo huwavutia Watu wengi hadi kupelekea Wao Kunipenda, Kunikubali na wengine kila Uchao ' Kunifolo '.

Na ndiyo maana hata Signature yangu tu inamajibu ya kutosha Kwenu ' Wanafiki ' wote inayosema ' Purely Talented and Charismatic Fella '.

Aliyebarikiwa kabarikiwa tu halafu ' Nyota ' ya Mtu inayong'aa kila Kukicha huwezi kuizima hata ufanyeje na msinichukie Mimi kuwa Kipenzi cha Members wengi hivi bali jiulizeni nyie ' mnaonichukia ' na kusema huu ' uzi ' nimejianzishia mwenyewe kwamba kwanini hamkubaliki kama GENTAMYCINE huku wengine mkiwa na muda mrefu humu JamiiForums kuliko Mimi niliyejiunga rasmi humu mwaka 2013.

Na kwa taarifa yenu tu ni kwamba kadri mnavyozidi ' Kunichukia ' na kunionea ' Kijicho ' humu ndiyo mnazidi kunifanya niwe ' maarufu ' na niwe mbunifu wa kuja na mada mbalimbali motomoto ambazo zinazidi kunifanya niwe tofauti na nyie. Waswahili ni Waswahili tu siku zote.

Wamekuelewa mkuu
 
Nimekuelewa sana ndugu, hata Mimi nimepokea kashfa kuhusu Uzi huu na nashukuru kuja humu ujue natamani sana uandishi wako na kama binadamu naamini ipo siku tutakutana. Pia humu kuna watu wakiona unataka umwone member mwenzio wanajua una nia mbaya.

Usijali Mkuu na utawazoea tu kama ambavyo Mimi nimewazoea. Siku zote Mti wenye matunda mazuri ndiyo hupigwa sana mawe. Labda kujibu tu maswali yako ni kwamba Kwanza kabisa sipo huko TISS kama ambavyo umehisi na ninavyojijua mwenyewe sina hata sifa ya chembe ya Mimi kuwa huko na wenyewe Watu wa TISS wanalijua hilo.

Kwenye suala Habari na Mawasiliano na Mimi kupenda sana ' Kujichanganya ' na ' Kutafiti ' masuala mbalimbali ya Kidunia na kufanya ' analysis ' umepatia kwa 100%. Nadhani nitakuwa nimejibu maswali yako Mkuu.

Akhsante na karibu sana.
 
Gentamicin, sold under brand names Garamycin among others, is an antibiotic used to treat several types of bacterial infections. This may include bone infections, endocarditis, pelvic inflammatory disease, meningitis, pneumonia, urinary tract infections, and sepsis among others.
 
Usijali Mkuu na utawazoea tu kama ambavyo Mimi nimewazoea. Siku zote Mti wenye matunda mazuri ndiyo hupigwa sana mawe. Labda kujibu tu maswali yako ni kwamba Kwanza kabisa sipo huko TISS kama ambavyo umehisi na ninavyojijua mwenyewe sina hata sifa ya chembe ya Mimi kuwa huko na wenyewe Watu wa TISS wanalijua hilo.

Kwenye suala Habari na Mawasiliano na Mimi kupenda sana ' Kujichanganya ' na ' Kutafiti ' masuala mbalimbali ya Kidunia na kufanya ' analysis ' umepatia kwa 100%. Nadhani nitakuwa nimejibu maswali yako Mkuu.

Akhsante na karibu sana.
Asante kwa ufafanuzi mujarabu
 
Soma post yangu # 56 nimewajibu ' Wapuuzi ' wote na labda nikupe tu pole Wewe Mkuu kwa kuanzisha ' uzi ' wa Kunisifia na Kunikubali ambao kuna Watu wenye chuki, wivu na husuda na uwepo wangu humu na hii ID wamekasirika na kudhani kuwa Mimi ni Wewe na kwamba nimejianzishia mwenyewe huu uzi.

Na nimewataka Moderators na Wamiliki wa JamiiForums wafanye ' Uchunguzi ' wao wote na kama ikiwa ni kweli kwamba Mimi ndiyo mwenye hii ID basi nawaruhusu upesi sana wanifute Mimi kuwepo humu Jamvini Kwao milele daima. Nimechoka kuzushiwa kila uchao kuhusu Multiple ID's na labda nikuambie tu kwamba kama ungeanzisha huu uzi wako na kunisema au kunizungumzia Mimi vibaya hizo hisia za kwamba Wewe ndiyo Mimi na nimejianzishia uzi usingezisikia. Nyota yangu inawatesa mno Watu na ndiyo maana nawaambia kuwa GENTAMYCINE ni ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
go take ur time dude....maneno mengi point ziro, hakuna asokujua humu
 
gentamycine ni dawa maarufu sana kwa sisi watu wa kada ya afya tunafanyia mahospitalini
 
Back
Top Bottom