GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nitafurahi sana mkuu, uandishi wako na paskali nimeupenda. Ni kwa mazuri tuu nataka tuonane
Akhsante na usijali Mkuu ipo siku tu utaniona au tutaonana. Nimefurahi pia kunipongeza Mimi na ' Kamarada ' wangu ' Kitasnia ' Kaka yangu na mkubwa wangu katika ' Fani ' Pascal Mayalla ambaye hata Mimi bado naona sijamfikia Kiuandishi na bado najifunza mengi kutoka Kwake. Namkubali mno Kaka yangu huyo Paskali.