Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea mambo ya bail na mtuhumiwa hajulikani alipo je kama kajiua? Mbona akili zenu zina matobo hivi? Na kujiwasilisha ndio nini?
😁😁😁😁 Katiba ya zima moto imeshindwa kumshape mtuhumiwa asifanye kosa? You overeating that pile of nonsense way higherUmeelewa alichokiandika mwenzako
You overeating that pile of nonsense way higher
[/QUOTE]What the hell is this? Yaani wewe unaandika kisukuma ukidhani unaandika kiingereza? Ninyi mnaeza aibisha mtu sana. Hata mtu akiandaa party ya watu mashuhuri halafu afanye makosa ya kualika Mtanzania kama REDEEMER basi ataregret sana. REDEEMER atashangaza wageni kwa kiingereza kisichoeleweka. Itambidi host ndio awe translator. Yaani REDEEMER anasema kwa kiswahili au kisukuma naye host anatafsiri kwa kiingereza. Ukimwacha REDEEMER aongee na wageni, atashangaza watu na kuaibisha host. Watu watauliza huyu ameokotwa kutoka msitu gani?
DPP wenu ni Mpumbavu, nilimfanyia instant assessment that day he brought the consignments nikaona hamna mtu pale.Huu ni upuuzi Wa DPP. Kwani hawezi akangoja jumatatu kesi iamuliwe? Huu upuuzi Wa populism wafaa ukome.
Did you already get the meaning of "gluttony" inside your thick round?Sasa wewe umekuwa mwanasheria?
Populism kivipi boss, sheria ni msumeno na huwa haimgonji mtu. Iwe weekend au weekday haijalishi warrant ya kukamamtwa ikishatiwa saini na hakimu hata uwe unaomboleza utakamatwa tu. Mshukiwa hata awe gavana, chini ya sheria ni mshukiwa tu kama wale wengine.Huu ni upuuzi Wa DPP. Kwani hawezi akangoja jumatatu kesi iamuliwe? Huu upuuzi Wa populism wafaa ukome.
Unaelewa kinachojadiliwa? Kwani mleta mada ndio amejitungia hadithi za bail? Mtu akijiua ndio inamaanisha nini, kwamba jua halitatua na shughuli zingine hazitaendelea?Unaongea mambo ya bail na mtuhumiwa hajulikani alipo je kama kajiua? Mbona akili zenu zina matobo hivi? Na kujiwasilisha ndio nini?
Populism kivipi boss, sheria ni msumeno na huwa haimgonji mtu. Iwe weekend au weekday haijalishi warrant ya kukamamtwa ikishatiwa saini na hakimu hata uwe unaomboleza utakamatwa tu. Mshukiwa hata awe gavana, chini ya sheria ni mshukiwa tu kama wale wengine.