Tetesi: Huyu hapa anayedaiwa kumuigiza "Wema kwenye Voice Note na Mbowe"

Tetesi: Huyu hapa anayedaiwa kumuigiza "Wema kwenye Voice Note na Mbowe"

Status
Not open for further replies.
Nasikia atakuwa kwenye redio leo kukanusha.

Kawashtaki hao mnaodai polisi wapelekwe mahakamani tuyasikie basi.
Ulikuwa unawaza Mbowe anaweza fanya huo upuuzi?


Tena Lissu ndio atafungua kesi
 
Acheni kupotosha..!! Yule ni wema original. Tunajua nyie ni Mabingwa wa kusafisha lakini hapo hamna jinsi yule ni wema original na Yule ni Mbowe original. Hakuna asiyefanya yale. Kila mtu anafanya Kwa namna moja au nyingine lakin ikitoka hadharan lazima mhusika atoke hadharan kuomba msamaha na kuwajibika Kwa matendo yake.

Hakuna aliemtuma kufanya vile. Kuna Wanawake Wengi wazuri kuliko Wema na wastaarab kuliko wema ambao wangemlindia heshima yake lakini yeye alichagua kwenda Kwa wema so lazima awajibike Kwa matokeo ya matendo yake.
 
Acheni kupotosha..!! Yule ni wema original. Tunajua nyie ni Mabingwa wa kusafisha lakini hapo hamna jinsi yule ni wema original na Yule ni Mbowe original. Hakuna asiyefanya yale. Kila mtu anafanya Kwa namna moja au nyingine lakin ikitoka hadharan lazima mhusika atoke hadharan kuomba msamaha na kuwajibika Kwa matendo yake.

Hakuna aliemtuma kufanya vile. Kuna Wanawake Wengi wazuri kuliko Wema na wastaarab kuliko wema ambao wangemlindia heshima yake lakini yeye alichagua kwenda Kwa wema so lazima awajibike Kwa matokeo ya matendo yake.
Punguza povu bro
 
Tatizo mnatumia nguvu kubwa sana kukanusha wakati kati yao wawili hakuna aliekanusha, kwani mwenyekiti si mwanaume? ? Siku zote anapopiga mzigo mnakuwepo? Achane mwenyekiti ajipigie mzigo maisha menyewe mfupi haya.
 
Leo wameachia story ya Mbowe kutoka na Wema kutrend siku nzima!Watu wamejadili,Mbowe kadhalilishwa wakiwa wanaangalia tu!

Muda mfupi uliopita nimekuja na Mada yenye kutoa ushahidi kuwa maongezi yale yamekuwa staged!Niliambatanisha video kuback up hoja yangu,cha ajabu JF mods wameuondoa uzi huo!

Naona kazi yao ya kuruhusu Mbowe achafuliwe imekamilika,sasa kila uzi unaohusu suala hilo wanaufuta!!!

Mbona hawakuufuta uzi huo toka asubuhi?Iweje watoe platform kumchafua ila wazuie watu wanapokuja na ushahidi kuwa kitu kile kimekuwa staged?
Shame on you Moderator


 
Hamna kitu yule ni wema tu

1: Aliyepiga ile simu ni nani?, ukisikiliza vizuri inaonekana kana kwamba ni kitu cha studio na wala sio simu live,
2: aliyerecord ile sauti ni nani? Ukiisikiliza vizuri utaona Sauti ya Wema iko juu zaidi ya Mbowe, kwa maana kwamba aliyekuwa anarecord ni Wema, lakini swali la kujiuliza iweje aliweza kurecord muito wa simu kwanza?, yaani alianza kurocord vipi mwito ndio arekodi na sauti ya maongezi?
3: kwa nini sauti ya Mbowe haiko clear, yaani anaongea as if ni mtu anayejua kinachofnyika? (Anarekodiwa) yaani mtu alikuwa anaigiza lakini hakutaka kutoka nje ya key, so alikuwa anaongea mkatomkato ili asipoteze sauti (tone) ya Mbowe
 
Leo wameachia story ya Mbowe kutoka na Wema kutrend siku nzima!Watu wamejadili,Mbowe kadhalilishwa wakiwa wanaangalia tu!

Muda mfupi uliopita nimekuja na Mada yenye kutoa ushahidi kuwa maongezi yale yamekuwa staged!Niliambatanisha video kuback up hoja yangu,cha ajabu JF mods wameuondoa uzi huo!

Naona kazi yao ya kuruhusu Mbowe achafuliwe imekamilika,sasa kila uzi unaohusu suala hilo wanaufuta!!!

Mbona hawakuufuta uzi huo toka asubuhi?Iweje watoe platform kumchafua ila wazuie watu wanapokuja na ushahidi kuwa kitu kile kimekuwa staged?
Shame on you Moderator
Niliwaomba right when it was posted, wamegoma, unaleta counter attack wanafuta!
Ban massikini! pole
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom