donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Skendo skendo na,makiki kiki...uuuuh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli kwann wameuondoa sasa?Kwann wanafuta nyuzi watu wakileta ushahidi?ile audio ya Mbowe na Wema ni ya ukweli kabisa ndio maana mods hawakuutoa ule uzi achene upuuzi nyie
Mbona umechukia sana mkuu? issue ndogo sana hii kwa mtambo wa kusafisha na kutetea uovu Tanzania (CHADEMA)Leo wameachia story ya Mbowe kutoka na Wema kutrend siku nzima!Watu wamejadili,Mbowe kadhalilishwa wakiwa wanaangalia tu!
Muda mfupi uliopita nimekuja na Mada yenye kutoa ushahidi kuwa maongezi yale yamekuwa staged!Niliambatanisha video kuback up hoja yangu,cha ajabu JF mods wameuondoa uzi huo!
Naona kazi yao ya kuruhusu Mbowe achafuliwe imekamilika,sasa kila uzi unaohusu suala hilo wanaufuta!!!
Mbona hawakuufuta uzi huo toka asubuhi?Iweje watoe platform kumchafua ila wazuie watu wanapokuja na ushahidi kuwa kitu kile kimekuwa staged?
Shame on you Moderator
Kuhus mwito wa simu iyo ni Application ndugu nenda play store ipo automatic call recorder ukiinstal iyo simu yyte utakayopigiwa utakayopiga inarecord automatic kuanzia simu inapoita mpaka inapokelewa then inajisave...etc1: Aliyepiga ile simu ni nani?, ukisikiliza vizuri inaonekana kana kwamba ni kitu cha studio na wala sio simu live,
2: aliyerecord ile sauti ni nani? Ukiisikiliza vizuri utaona Sauti ya Wema iko juu zaidi ya Mbowe, kwa maana kwamba aliyekuwa anarecord ni Wema, lakini swali la kujiuliza iweje aliweza kurecord muito wa simu kwanza?, yaani alianza kurocord vipi mwito ndio arekodi na sauti ya maongezi?
3: kwa nini sauti ya Mbowe haiko clear, yaani anaongea as if ni mtu anayejua kinachofnyika? (Anarekodiwa) yaani mtu alikuwa anaigiza lakini hakutaka kutoka nje ya key, so alikuwa anaongea mkatomkato ili asipoteze sauti (tone) ya Mbowe
Hao wameacha imetrend tokea asubuhi,saiv wamefungia kila uzi unaohusiana na sakata hiloPlease JF tunawaheshimu sana lakini hatuwezi kuvumilia mkiachia habari za kumchafua mbowe zikiendelea Ku trend hapa mtandaoni.
Bro mchokozi sana wwHakuna alieigiza huko huyo ni wema tu na mh MboweView attachment 519151
hata kama wameuondoa message sent...na tayari audio tunazo kwenye simu zetu watanzania tumeshajua Mbowe na Wema ni wapenzi walioshibana kama kumbi kumbiKama ni kweli kwann wameuondoa sasa?Kwann wanafuta nyuzi watu wakileta ushahidi?
Tukija na scandal za Magu wawe tayari kuziachia!Mbona umechukia sana mkuu? issue ndogo sana hii kwa mtambo wa kusafisha na kutetea uovu Tanzania (CHADEMA)
Tumesimama ngangari kutetea ACACIA na kumsafisha yule FISADI number moja kwenye list yetu, itakuwa issue ya Mbowe na Wema?
UMnajitekenya na kucheka wenyewe,mnastage maongezi ili kushusha heshima ya CDM!Hamtofanikiwa,namna pekee ya kuwin mioyo ya watanzania ni kutimiza ahadi zenu za uchaguzi na si kuchafua upinzani!hata kama wameuondoa message sent...na tayari audio tunazo kwenye simu zetu watanzania tumeshajua Mbowe na Wema ni wapenzi walioshibana kama kumbi kumbi
Amekiukaje hayo maadiliMbowe aachie ngazi.. Amekiuka Maadili ya uongozi
Aachie kwa upumbavu wa Lumumba, tena mkitupangia mkiti ndio mnaharibu kwa kuwaonyesha tutamchagua tena hadi mpasuke.Mbowe aachie ngazi.. Amekiuka Maadili ya uongozi
Kuna tofauti mkuu. Magu ni president wakati Mbowe ni mpiga madili.Tukija na scandal za Magu wawe tayari kuziachia!