Huyu hapa anayetazamiwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza mwenye Asili ya Asia

Huyu hapa anayetazamiwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza mwenye Asili ya Asia

Waliambulia manyoya walikesha kushangilia ushindi wiki nzima kosa wangekua wanapumzika na kulala tu,
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1] [emoji1787]
Eti bora wangelala
Wengine walidanganya eti wana undugu kabisa na walicheza pamoja
 
Muhindi atawwza wahindi Ni wachumu wazuri Sana

Nimefurahi Sana kwa Hilo Jambo siwapendi wahindi ila kwa nafsi hyo nyeti acha mzungun nae aizome nmba
 
[emoji1787]
[emoji1787] Sasa hapo wana unasaba gani na Tanzania[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lugha ngumu
Hawana unasaba wowote ni Wahindi walioishi huko basi
 
Atajiuzulu ndani ya mwaka mmoja
Mpaka ucahguzi halafu wanaweka mwingine
Kwa sasa hakuna wa kutuvusha hapa ila yeye na atamsaidia sana Waziri wa Fedha

Ni aibu kwa conservatives yaani waziri mkuu wa 5 kwa miaka Sita tu
 
Wabongo tunadandiaga magari Kwa mbele kaka tukiskia TU hata kama alipita bongo baasi tunaunga tela[emoji3526][emoji3526][emoji3526]

Kwani umesahau ngoma inapita mtaani mdundiko hujui sherehe ya nani na hujui inaishia wapi, chap chap ushaunga msafara kama ndugu itakoishia ndio huko huko
 
Hamtaki uraia pacha ila mnapenda shobo kwa watu wenye kaharufu tu ka utanzania.
Ni unafiki tu
Uraia pacha hawajui faida yake
Sisi kila kitu tunaogopa tulisharogwa
Ukipita karibu na Ikulu unapigwa, ukipita kambi ya jeshi unapigwa
Ukidhihaki kiongozi unakufa

Taboo kila kitu
Yaani unakuta tumechangia hoja kuhusu silaha zetu
Jamaa anasema tuheshimu jeshi tusiliseme

Yaani hapa ukiuliza kwanini hawataki dual utaambiwa usalama wa nchi [emoji1]

Boris ni Mmarekani / [emoji636]
Farmajo ni [emoji631]/ [emoji1220]
 
😀 😀 😀 kwa hiyo kwa taarifa hii Wakenya (tena nasikia ni mjaluo) wameshinda kwa kutawala mataifa makubwa wamebakisha Vatican tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwani umesahau ngoma inapita mtaani mdundiko hujui sherehe ya nani na hujui inaishia wapi, chap chap ushaunga msafara kama ndugu itakoishia ndio huko huko
[emoji2][emoji2]umenikumbusha mbaali Sanaa yaani ndo zetu Hizo ...yaani hatuna msaada na watu wakifanikiwa tunaanza kuwagoogle na kujisifu wa kwetu....wakenya wametuharibu sana
 
Back
Top Bottom