Mbona mlaini hiviTulikuwa nae mazoezini jioni ya leo
Anaitwa cadena
Neno lakoView attachment 2807095View attachment 2807096
????Body
Naona anachekelea hela za bure, huku na wahuni nao wakisubiria 10% yao kwa hamu.Tulikuwa nae mazoezini jioni ya leo
N:B TUMEANZA MAZUNGUMZO YA AWALI NA KISHINGO
Anaitwa cadena
Neno lako
View attachment 2807095View attachment 2807096
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....Huyu ndio kocha Sasa rangi rangi Hadi usoni kuonyesha yupo tayari,haya twendeeeee....yanga ipo siku nanyi mtaingia kwenye mfumo.
Watu wengi wana tattoo sema tu ziko kwenye maeneo ambayo wengine hawawezi kuziona hadi wawe kwenye hatua nyingine.Mbona kama muhuni flani hivi? Hiyo tattoo imenitisha!
Alikuwepo,huyo ni kochi wa magolikipaInamaana mpango wa kufungwa na kitimuliwa Robetinho ulijulikana maana kocha amesepeshwa leo na tayari huyu yupo
Kishingo ndo nani Tena...?Tulikuwa nae mazoezini jioni ya leo
N:B TUMEANZA MAZUNGUMZO YA AWALI NA KISHINGO
Anaitwa cadena
Neno lako
View attachment 2807095View attachment 2807096
Kama zile ambazo 555 watachora, LolWatu wengi wana tattoo sema tu ziko kwenye maeneo ambayo wengine hawawezi kuziona hadi wawe kwenye hatua nyingine.
Ova
Hilo baka usoni, halafu lekundu ndio usimba wenyewe?Tulikuwa nae mazoezini jioni ya leo
N:B TUMEANZA MAZUNGUMZO YA AWALI NA KISHINGO
Anaitwa cadena
Neno lako
View attachment 2807095View attachment 2807096
huyo kaimu,yeye ni kocha wa makipa na leseni pro euroHuyu atatimuliwa baada ya wiki moja
Makolo wamechanganyikiwa
Mbona makipa wote pazia hapo Mwakarobo FC alikuwa anafanya nini?Tulikuwa nae mazoezini jioni ya leo
N:B TUMEANZA MAZUNGUMZO YA AWALI NA KISHINGO
Anaitwa cadena
Neno lako
View attachment 2807095View attachment 2807096