Huyu hapa mtoto wa Mshana jr



wewe kama mimi nilivyoona pampers nikasema mbona ni mtoto wa digital? hayo makamba vipi? but kumbuka hata mtoto wa Diamond naye walimfunga kamba mkononi ndio nikachoka full
 
Hello mkuu ,,hili LA mjomba kumkanya kitovu na kisigino ni kweli, inasaidia?
 
Labda hayo makamba kamba ndo yamemfanya awe na afya nzuri[emoji2]

Halafu sidhani kama hawana pesa za kumpeleka hospitali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…