The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Huyu Mwamba kuna mambo alikuwa nayo sisi hatukujua. Tutahangaika sana kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He was the hero, best present of our time. May Allah rest his soul in peace.Huyu Mwamba kuna mambo alikuwa nayo sisi hatukujua. Tutahangaika sana kuelewa
View attachment 2570386
Acha tu Tanzania ina maskini wa akíli wengi sana. Huwezi ukamtukana Magufuli kama una akíli timamu.Kwani huyu SSH yeye kafanya nini zaidi ya kulea majizi na safari zisizo na kichwa wala miguu.
1.5 trillionHuyu Mwamba kuna mambo alikuwa nayo sisi hatukujua. Tutahangaika sana kuelewa
View attachment 2570386
Huwezi mtukana mtu aliyeweza kuua raia wake na kukwapua 1.5trilionAcha tu Tanzania ina maskini wa akíli wengi sana. Huwezi ukamtukana Magufuli kama una akíli timamu.
1.5 trillionView attachment 2570403
Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda.Wewe kama unaumia ni ww,husiforce tufanane. Ila mwamba alikuwa bora najua wapo wenye mimba zake za chuki ambazo hazitaki kukomaa,ila still bado watu wataendelea kumwimba...
Sasa kama yy hataki kumsikia ndio na mimi nisimsikie? Dikteta kwako ila kwetu alikuwa mwamba, so kama unaumia endelea kuumia.Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda. Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
Waambie hivi, Mke wake tu Mama Janeth amenenepa sana saivi anaishi kwa amani maisha yanasonga mbele.Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda. Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
Makonda yuko wapi?Oya JPM ndio Rais mzalendo kuwahi kutokea baada ya Nyerere. Nasubiri kamati ije na ushahid ili mzee jpm abaki clean.
Hizo tirion mnazomsema jpm ukweli utajulikana soon
Ndege ya mizigo kanunua Magufuli.? Wala hakuwa mpango nayo.Hata madudu ya over invoicing ya manunuzi ya ndege leo mama kasema "limeanzia "huku ndani"! Huku akipoint mlango wa kuingilia ndani Ikulu.
Tuliyoelewa tumemuelewa.
Asiyejuwa maana haambiwi maana hana maana.
Nyie majizi najua hamtapenda jpm aongelewe vzr,mna shida sana,Kwakweli inakera sana, kwanini tusiFocus na yaliyopo na yajayo.
Kila siku Legacy Legacy [emoji53]
Unaweza ukawa na akili timaru,lkn lijizi,majizi yoote hayampendi magufuli.Acha tu Tanzania ina maskini wa akíli wengi sana. Huwezi ukamtukana Magufuli kama una akíli timamu.
Una mavi kichwani mwako,au kama sio hivyo,UNA LAANA YA URITHI1.5 trillionView attachment 2570403