Huyu Hayati Magufuli aliyajua haya?

Huyu Hayati Magufuli aliyajua haya?

Huyu Mwamba kuna mambo alikuwa nayo sisi hatukujua. Tutahangaika sana kuelewa

View attachment 2570386
1.5 trillion
JamiiForums-266676641.jpg
 
Wewe kama unaumia ni ww,husiforce tufanane. Ila mwamba alikuwa bora najua wapo wenye mimba zake za chuki ambazo hazitaki kukomaa,ila still bado watu wataendelea kumwimba...
Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda.

Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
 
Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda. Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
Sasa kama yy hataki kumsikia ndio na mimi nisimsikie? Dikteta kwako ila kwetu alikuwa mwamba, so kama unaumia endelea kuumia.
 
Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda. Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
Waambie hivi, Mke wake tu Mama Janeth amenenepa sana saivi anaishi kwa amani maisha yanasonga mbele.

Sasa sijui wao ni akina nani wanaoumia zaidi ya Mke wake. Au ni Nyumba ndogo zimekosa urithi?
 
Oya JPM ndio Rais mzalendo kuwahi kutokea baada ya Nyerere. Nasubiri kamati ije na ushahid ili mzee jpm abaki clean.

Hizo tirion mnazomsema jpm ukweli utajulikana soon
Makonda yuko wapi?
 
 
Hata madudu ya over invoicing ya manunuzi ya ndege leo mama kasema "limeanzia "huku ndani"! Huku akipoint mlango wa kuingilia ndani Ikulu.

Tuliyoelewa tumemuelewa.

Asiyejuwa maana haambiwi maana hana maana.
Ndege ya mizigo kanunua Magufuli.? Wala hakuwa mpango nayo.

Endeleeni kumkingia kifua BITOZO ateketeze nchi kwa kutowawajibisha wezi
 
Back
Top Bottom