Huyu Hayati Magufuli aliyajua haya?

Huyu Hayati Magufuli aliyajua haya?

Hata madudu ya over invoicing ya manunuzi ya ndege leo mama kasema "limeanzia "huku ndani"! Huku akipoint mlango wa kuingilia ndani Ikulu.

Tuliyoelewa tumemuelewa.

Asiyejuwa maana haambiwi maana hana maana.
Ndege ya mizigo mmeorder juzi. Kisha useme ameorder Magu
 
Lukuvi yuko wapi?
Uwe unakua na Akili hata kidogo .


You are not supposed to be so blind with feminism/Islamism that you can't face the reality, wrong is wrong no matter what!!.


kinachochekesha zaidi wee ni Mwanamke!!.
 
Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda.

Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
Alijikweza hadi kutaka akifa akaongoze malaika!!
No wonder wengine walifikia hatua ya kufuru zaidi na kumuita” Mtukufu Mheshimiwa MUNGU”
 
Back
Top Bottom