Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeanza kuhesabu za awamu hii kaa utulie.1.5 trillionView attachment 2570403
utandawaz unatuzalishia vijana wapuuz wanataka kusikia ukraine zaid kuliko siasa zaoKwakweli inakera sana, kwanini tusiFocus na yaliyopo na yajayo.
Kila siku Legacy Legacy [emoji53]
huyo unamjibu ni JIZI SUGU ni ngumu sana kukuelewa ili kulea wizi wao wanatumia lugha za kikabila siku hzKwani huyu SSH yeye kafanya nini zaidi ya kulea majizi na safari zisizo na kichwa wala miguu.
wengi wao ni majizi hayoAcha tu Tanzania ina maskini wa akíli wengi sana. Huwezi ukamtukana Magufuli kama una akíli timamu.
taja kitu alichoacha Jpm labda ni sheli kila wilaya au kuwa na share ndan ya mirad mikubwa ya serikali , KUWENI na AIBU , mtu unaandika kitu ila unaona kabisa sio kwel ni shutuma , sasa hv tunaona wanapeana vyeo kwa majina1.5 trillionView attachment 2570403
tupe ushaidiHuwezi mtukana mtu aliyeweza kuua raia wake na kukwapua 1.5trilion
makamo huyu huyu ambae anasema bila mkopo hatuend halaf anamlaumu mzee alikopa sana , tumuelewej sasaBongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda.
Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
huyo jamaa anaeza akawa mdau wa madawa ya kulevya , Panya road , fisadi , mwizi/kibaka , shoga , vyeti feki , mtu wa vijiweni au Jambaz/Gaidi hayo makubdi aliyadili mzee vilivyoSasa kama yy hataki kumsikia ndio na mimi nisimsikie? Dikteta kwako ila kwetu alikuwa mwamba, so kama unaumia endelea kuumia.
ndo kaonyesha mf kwa kununua makopo yale ya treni? muwe mnaangalia na wa kumtumia kama referenceHata madudu ya over invoicing ya manunuzi ya ndege leo mama kasema "limeanzia "huku ndani"! Huku akipoint mlango wa kuingilia ndani Ikulu.
Tuliyoelewa tumemuelewa.
Asiyejuwa maana haambiwi maana hana maana.
vichaa mlotoroka milembe ni weng sana , ww kama sio mdau wa madawa basi ni shoga kama sio shoga bas ni vyeti feki , au mwiz /kibaka , fisadi /mishahara hewa au mhujumi uchumiWaambie hivi, Mke wake tu Mama Janeth amenenepa sana saivi anaishi kwa amani maisha yanasonga mbele.
Sasa sijui wao ni akina nani wanaoumia zaidi ya Mke wake. Au ni Nyumba ndogo zimekosa urithi?
unaumia mtu kusifiwa watu wa mbagala utawajua tu uswahili muda woteBora umewaambia wapumbavu hao.....kila kitu anasifiwa panga la Shaba utadhani malaika !!!!
🤓🤣😂unaumia mtu kusifiwa watu wa mbagala utawajua tu uswahili muda wote
Huelewi hata kichoendelea. Ni heri ukae kimya ujifanyie home work yako.Ndege ya mizigo kanunua Magufuli.? Wala hakuwa mpango nayo.
Endeleeni kumkingia kifua BITOZO ateketeze nchi kwa kutowawajibisha wezi
Sasa we bibi nawe nini usichoelewa hapa...au mpaka uekewe clip hapa ndio uufyate.Huelewi hata kichoendelea. Ni heri ukae kimya ujifanyie home work yako.
Acha kucheza na Mwenyezi Mungu wewe!He was the hero, best present of our time. May Allah rest his soul in peace.
Kwa hiyo mnaumia kwa 1.5 tril ambazo mlitaka alambe mzee wenu chekibobu!? Kwani ye amekula ngapi tangu akiwa waziri wa fedha enzi za mzee ruksa?1.5 trillionView attachment 2570403