Ndege ya mizigo mmeorder juzi. Kisha useme ameorder MaguHata madudu ya over invoicing ya manunuzi ya ndege leo mama kasema "limeanzia "huku ndani"! Huku akipoint mlango wa kuingilia ndani Ikulu.
Tuliyoelewa tumemuelewa.
Asiyejuwa maana haambiwi maana hana maana.
Akikupa ushahidi akupe na namba tumtumie muamala akanywe maziwa apunguze sumu kifuani!tupe ushaidi
For sureMbele yake nyuma yetu...
Ujinga mtupuu, Upinzani ndio umekukaa kichwan na unafiki mwingiii kiasi Cha Kujifanya u mpofu wa kushindwa kuona hata ambayo ukiwa umefumba macho yanaonekana.1.5 trillionView attachment 2570403
Unazeeka vibaya, ulichojaza kichwan kwako ni tope la Uislam.Makonda yuko wapi?
Lukuvi yuko wapi?Unazeeka vibaya, ulichojaza kichwan kwako ni tope la Uislam.
Uwe unakua na Akili hata kidogo .Lukuvi yuko wapi?
Alijikweza hadi kutaka akifa akaongoze malaika!!Bongo bhana yaani aliekuwa makamu wake WA rais hataki hata kumsikia nyie mmebaki kujifariji eti tulikuwa tunampenda.
Propaganda zake zimewameza endeleeni kuota ndoto za mchana. DIKTETA MAGUFULI amfariki dunia ndugu zangu pambanane na Hali zenu. Itikadi za KIFASHISTI hazitowafikisha popote mnapoteza muda
Acha tu Tanzania ina maskini wa akíli wengi sana. Huwezi ukamtukana Magufuli kama una akíli timamu.