Huyu Hayati Magufuli aliyajua haya?

Hata madudu ya over invoicing ya manunuzi ya ndege leo mama kasema "limeanzia "huku ndani"! Huku akipoint mlango wa kuingilia ndani Ikulu.

Tuliyoelewa tumemuelewa.

Asiyejuwa maana haambiwi maana hana maana.
Ndege ya mizigo mmeorder juzi. Kisha useme ameorder Magu
 
Lukuvi yuko wapi?
Uwe unakua na Akili hata kidogo .


You are not supposed to be so blind with feminism/Islamism that you can't face the reality, wrong is wrong no matter what!!.


kinachochekesha zaidi wee ni Mwanamke!!.
 
Alijikweza hadi kutaka akifa akaongoze malaika!!
No wonder wengine walifikia hatua ya kufuru zaidi na kumuita” Mtukufu Mheshimiwa MUNGU”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…