πππEti dogo wanadai wewe na mwamba raraa reree ni maroboti. Hivi hizi tuhuma ni za kweli?
Japo mimi sio muumini wa dini yoyote ila kama kaimba hizo nyimbo ni nzuri sana huwa nazisikiliza nikishalewa zina vibe la aina yake,mwamba katisha.Yaniburudisha...
Nikiruka ruka...
Hosanna Amenπ΅
Ni kutoka Kasulu Kigoma kwa mjibu wa jirani yake mmoja wa Kigoma.Jamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
View: https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]
Ni mkongomani. Wazazi wake walihamia Rwanda akiwa mdogo Sana.Jamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
View: https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]
Sio kweli. Wazazi wake ni Banyamulenge wa DRC ila walihamia Rwanda akiwa mdogo.Ni kutoka Kasulu Kigoma kwa mjibu wa jirani yake mmoja wa Kigoma.
Uache wosia ukifa usifanyiwe dua wala misaJapo mimi sio muumini wa dini yoyote ila kama kaimba hizo nyimbo ni nzuri sana huwa nazisikiliza nikishalewa zina vibe la aina yake,mwamba katisha.
Siwezi fanyiwa usijali mkuu. Kwa sababu hata hivyo sina dini yoyote kweli.Uache wosia ukifa usifanyiwe dua wala misa
Sio sasa hivi unakataa dini ukianguka tunakupdleka kwa shekhe
kiswahili kina coverage kubwaJamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
View: https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]
HaswaaNinyi ambao hauujui muziki na mandhari ya muziki mnatupa shida sana kutuelewesha.Huyo ni mrwanda pure kabisaa ila anaimba kiswahili kwa kutumia translation kutoka kinyarwanda au kiingereza.Anaimba kiswahili ili auze muziki wake yaani apate vibe kwa haraka.kiswahili kinaimbwa atleast robo ya nchi za Afrika.akiimba kinyarwanda atachelewa.wengine ni kama SDA KIGALI WA KWETU PAZURI wanafanya kibiashara zaidi,πππ
Umeokoka lini tena mama yangu wa kimasai?Tokea juzi namsikiliza kwenye wimbo wake wa nitaamini namkubali sana, jamaa yuko vizuri.
Kiukweli hata mimi nashangazwa na ufasaha wake kwenye Kiswahili.
Anakuja dar november ukujeTokea juzi namsikiliza kwenye wimbo wake wa nitaamini namkubali sana, jamaa yuko vizuri.
Kiukweli hata mimi nashangazwa na ufasaha wake kwenye Kiswahili.
Ni mkongo aliyekulia Rwanda,ni kama Solomon Mukubwa na Marehemu Chibalonza kuwa Wakenya ilihali ni Wakongo au Kibu Denis Tanzania.Ni mnyarwanda pure kabisa na zamani alikuwa anaimba nyimbo za kikwao tu, (tafuta wimbo unaitwa icyambu, bonge la wimbo). But alikuja ku realize kwamba anajilimit sana kwa kuwa lugha yao haijulika na mataifa mengi. Ndio sababu alipoanza kuimba nyimbo za kiswahili kajulikana inchi nyingi. Waimbaji wengi wa Rwanda sasa hv wanaimba kiswahili, sababu audience ya kinyarwanda ni ndogo sana.
We jamaa umekaa kama mchawi π€£π€£π€£Video ya songi moja basii!!!
Mkongo huyoJamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
View: https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]