Hata dingi ake akijua hana cha kufanya na wala hawezi kulalamika kwny medias ataishia kuumia tu moyoni maana mashoga/mashetani huko US yana nguvu sana yataanzisha movements za ku-boycott kazi zake za sanaa mpk ataomba poo.
Duu
Hizo habari zilivuma tu lakini sijui Kama zinaukweli wowote
Jamaa mbona Yuko vizuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapakuliwa CHOO.. Sio UZUSHI.. Vidume vinagusisha kikojoleo...Hana tatizo ni namna tu anavyojiweka. Kuna trend ya kubadili muonekano kwa wasanii wakimarekani kwa kujibadili muonekano ambao ni mbaya
Wasanii wengi wa trap (mumble rappers) wamebadili mionekano yao wanafanya kama fashion kama kina tekashi, uzi, lip peep, lil pump yaani muonekano wao una elements flani za ki-gay. naona naye dogo akaamua aige
Na kitu kingine kilichomponza kwenye career yake ni kujifanya mwana phylosophy na much know sana. Dogo anajifanya anajua kila kitu kiasi kwamba maproducers na madirectors wa movie walianza kumuavoid. Halafu kwenye movie ya after earth alipata titile ya the worst actor of the year...
Kurecover kutokana na niniAmeanza ku-recover saizi, mwanzo ilikua hatari mashabiki wake ikabidi waingilie kati ndo taratibu changes zimeanza kuonekana
Utani wa kisengeHiyo issue aliyosema Tyler ni boyfriend wake ilikuwa ni utani. Tyler pia amelitolea ufafanuzi mara nyingi. Na kwenye hiyo show alikuwa na girlfriend wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo alianza zile imani za kuwa vegealian na mbaya zaidi alikuwa kanunua a 2 milion dollar home akahama kwao. Akawa anakula sijui mikaroti tu na mamboga mboga, later akaja kuwa an malnutrition ikabidi wazazi waingilie kati kumwokoa
Nimeimiss avatar ya zamani mkuuHuyu anazidi kutafuta Kiki /Fame, habari ya ushoga iligundulika ni Uongo....!
Anataka azungumziwe
Sent using Jamii Forums mobile app
nyingine kama sijakosea.niliichukuaga lakini ilipotea na simu😊
Pitia nyuzi kama hzi utajua exposure ya watanzania kwenye mambo ya ng'ambo yakoje .... We are too shallow hadi aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nonsense from the NONSENSEAnd u blame them!? How abt hao wa ng'ambo, are they deep on our issues!!? Acha kuabudu wa ng'Ambo kijana.
inaonekana una uzoefu naoMapunga huwa wakianza kubanduliwa marinda wanachoka na kukonda sana.