mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hizi ni Code huku bongo za mtandao wa Co. Ya Mawasiliano ya Tigo boss.Sijaelewa Mng'ato. Hiyo namba ni code?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni Code huku bongo za mtandao wa Co. Ya Mawasiliano ya Tigo boss.Sijaelewa Mng'ato. Hiyo namba ni code?
Zinaendana vipi na Jaden ? Au ngoja nifanye nimeelewa nisihoji sana. Asante Sana.Hizi ni Code huku bongo za mtandao wa Co. Ya Mawasiliano ya Tigo boss.
Kale kachalii kako rojorojo sana kama ka manzi vile,lazima ndo kawe kabanduliwa.Nimeshaelewa.
Hivi mtu akiwa gay ni lazima awe yeye ndio anayefanywa? Yule mfanyaji siyo Gay?
Mfano, kama huyo Tyler ni Gay (wanavyosema) sasa kama Jaden alivyosema ingekuwa ni kweli na wote ni Gay ni ngumu kujua anayemfanya mwenzake.
Anayefanya ni TOPNimeshaelewa.
Hivi mtu akiwa gay ni lazima awe yeye ndio anayefanywa? Yule mfanyaji siyo Gay?
Mfano, kama huyo Tyler ni Gay (wanavyosema) sasa kama Jaden alivyosema ingekuwa ni kweli na wote ni Gay ni ngumu kujua anayemfanya mwenzake.
Hahaa eti mikaroti,dogo alifakamia bila kujua utaratibu wakeDogo alianza zile imani za kuwa vegealian na mbaya zaidi alikuwa kanunua a 2 milion dollar home akahama kwao. Akawa anakula sijui mikaroti tu na mamboga mboga, later akaja kuwa an malnutrition ikabidi wazazi waingilie kati kumwokoa
Aisee,nomaAmeona bora apate raha anazo pata dadaake ...uzunguni kawaida kubandua ao kubanduliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili nyinyi em nendeni mkajifukize hukoo
Pumbav
Kamtu kamekomaa vile jamani. Hana hata nyama.Kale kachalii kako rojorojo sana kama ka manzi vile,lazima ndo kawe kabanduliwa.
Kuna mdau hapo juu anasema babake anajuaHuyo dogo sio shoga watu tu wamejiongeza. Siku Will Smith akijua Jaden ni shoga mbona ataua mamaqe [emoji2]
Asante kwa uchambuzi.Anayefanya ni TOP
Anayefanya ni BOTTOM
Anayefanya na kufanywa ni VERSATILE
BUT generally wote ni GAY
Sent using Jamii Forums mobile app
Will Smith yuko smart sana ,kuna clip kashuka tu kwenye gari waandishi wakaanza kumhoji ,kuna mwandishi mmoja mwanaume akamkumbatia kwa nguvu na kumkiss shavuni ,hapo hapo alimkata kofi ,sasa sijui huyu mtoto hii tabia katoa wapi
MONEY STOP NONSENSE
Akisema anaishi na boyfriend itakuwa wote ni ma-boyfriend to each other.
Siyo gays nahisi. Sema huyu mmoja ana-do drugs sana. Nahisi ingekuwa kweli.wasingeogopa kujitangaza.Nami nilidhani hivyo. Bado tuko pale pale kutojua nani ni mfanyaji na nani ni mfanywaji? Au labda wanafanyana. [emoji40][emoji40][emoji40]
Hahah ndio maana wanaofanya matendo hayo hua nawa weka kwny kundi la watu wenye matatizo/upungufu wa akili boss.Kamtu kamekomaa vile jamani. Hana hata nyama.