Huyu jamaa anahitaji ushauri wa haraka ili kuokoa uhai wake

Huyu jamaa anahitaji ushauri wa haraka ili kuokoa uhai wake

Wewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?

Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.

Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
Huwa anakunywaga mpaka Konyagi mbona
 
Umeshawahi kujiuliza pombe fake na ziko sealed na zina stika za TRA zinatoka wapi?

Unashindwa kutumia hata akili ndogo uliyonayo?

Wewe hujawahi hata kuona watu wa mazingaombwe mashuleni.
Umekaza sana fuvu🚮🚮
 
Back
Top Bottom