kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Kwema wasomi?
Kuna jamaa angu ni in service wa halmashauri moja hapa Tanzania, mwaka 2019 alinifuata kuniomba ushauri wa program na chuo cha kusoma hapa Tanzania, kwa uelewa wangu kiasi niliokua nao kwa kipindi hicho, nikamahauri ni Bora atafute chuo cha private walau huko kunakua na unafuu na angalau hatajiumiza sana ukizingatia ni mtu mzima kiasi(38+), yeye akaona kama namzibia ridhiki coz ndoto zake zilikua kusoma uchumi UDSM.
Kweli akaomba chuo akapata udsm BA ECONOMICS. Mwaka wa kwanza umeenda vizuri kiasi, mwaka wa pili umekua mbaya sana,kwani kapigwa discontinue, so hapa kanitumia matokeo yake ili nijaribu kumshauri nini cha kufanya. Anasema anaona hata aibu kumwambia mkewe kuwa kaliwa kichwa huko chuo.
Matokeo yake nitayaweka hapa ili mtoe mawazo yenu wakuu coz mimi binafsi nimemshauri aachane na mambo za kusoma kwa sasa aangalie maisha yake na familia yake tu.
Kuna jamaa angu ni in service wa halmashauri moja hapa Tanzania, mwaka 2019 alinifuata kuniomba ushauri wa program na chuo cha kusoma hapa Tanzania, kwa uelewa wangu kiasi niliokua nao kwa kipindi hicho, nikamahauri ni Bora atafute chuo cha private walau huko kunakua na unafuu na angalau hatajiumiza sana ukizingatia ni mtu mzima kiasi(38+), yeye akaona kama namzibia ridhiki coz ndoto zake zilikua kusoma uchumi UDSM.
Kweli akaomba chuo akapata udsm BA ECONOMICS. Mwaka wa kwanza umeenda vizuri kiasi, mwaka wa pili umekua mbaya sana,kwani kapigwa discontinue, so hapa kanitumia matokeo yake ili nijaribu kumshauri nini cha kufanya. Anasema anaona hata aibu kumwambia mkewe kuwa kaliwa kichwa huko chuo.
Matokeo yake nitayaweka hapa ili mtoe mawazo yenu wakuu coz mimi binafsi nimemshauri aachane na mambo za kusoma kwa sasa aangalie maisha yake na familia yake tu.