Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
Mhe Ulisoma program gani ya ujasriamali pale UDSM ? au UDEC ? PGDEED ?Ujasiliamali boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhe Ulisoma program gani ya ujasriamali pale UDSM ? au UDEC ? PGDEED ?Ujasiliamali boss
Qualification zangu hazikuniruhusu mimi kuingia chuo kikuu boss, hivyo nikaangalia upande wa piliMhe Ulisoma program gani ya ujasriamali pale UDSM ? au UDEC ? PGDEED ?
Umepita mlemle utafikiri unanifahamu vizuri.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanza shule zina wenyewe wengine nyota zao ni kuchunga mbuzi na biashara huko tusforce mambo
Utajuaje kama sikufaham kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umepita mlemle utafikiri unanifahamu vizuri.
Kama wazazi wangu hawanifahamu utakuwa wewe wa kunifahamu.Utajuaje kama sikufaham kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio ushangae sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]Kama wazazi wangu hawanifahamu utakuwa wewe wa kunifahamu.
Masomo yote ni core hakuna hata electiveHuyo jamaa ako kilaza, pamoja na kuwa in service lakini niliwanyoosha class balaa.
View attachment 1974662
Mshauri atafute vyuo Ulaya au Amerika. Huko hakuna ujinga wa kuumizana kama kwetu ambapo maprofesa wazima wanataka waabudiwe na wapo pale kujonyesha wamesoma sana na kufelisha wenzao badala ya kuwasaidia. Ni aibu kwa chuo mwanafunzi kufeli tena mtu mzima anayejua anachofanya. Nadhani kuna aina fulani ya roho mbaya. Nilisoma pale sheria profesa mmoja mpumbavu aitwaye Kanywanyi akataka kunifelisha nikamzidi akili nikampigia na akashangaa. Kosa langu ni kwamba alisikia wanafunzi wenzangu waliokuwa wanasua sua nikawasaidia wakiniita profesa. Bahati nzuri baada ya hapo nilisomea nje na kumaliza shahada zangu zote vizuri bila pressureKwema wasomi?
Kuna jamaa angu ni in service wa halmashauri moja hapa Tanzania, mwaka 2019 alinifuata kuniomba ushauri wa program na chuo cha kusoma hapa Tanzania, kwa uelewa wangu kiasi niliokua nao kwa kipindi hicho, nikamahauri ni Bora atafute chuo cha private walau huko kunakua na unafuu na angalau hatajiumiza sana ukizingatia ni mtu mzima kiasi(38+), yeye akaona kama namzibia ridhiki coz ndoto zake zilikua kusoma uchumi UDSM.
Kweli akaomba chuo akapata udsm BA ECONOMICS. Mwaka wa kwanza umeenda vizuri kiasi, mwaka wa pili umekua mbaya sana,kwani kapigwa discontinue, so hapa kanitumia matokeo yake ili nijaribu kumshauri nini cha kufanya. Anasema anaona hata aibu kumwambia mkewe kuwa kaliwa kichwa huko chuo.
Matokeo yake nitayaweka hapa ili mtoe mawazo yenu wakuu coz mimi binafsi nimemshauri aachane na mambo za kusoma kwa sasa aangalie maisha yake na familia yake tu.
View attachment 1974214
Sasa angesoma SUA ingekuaje kama Ud ame disco?Kwema wasomi?
Kuna jamaa angu ni in service wa halmashauri moja hapa Tanzania, mwaka 2019 alinifuata kuniomba ushauri wa program na chuo cha kusoma hapa Tanzania, kwa uelewa wangu kiasi niliokua nao kwa kipindi hicho, nikamahauri ni Bora atafute chuo cha private walau huko kunakua na unafuu na angalau hatajiumiza sana ukizingatia ni mtu mzima kiasi(38+), yeye akaona kama namzibia ridhiki coz ndoto zake zilikua kusoma uchumi UDSM.
Kweli akaomba chuo akapata udsm BA ECONOMICS. Mwaka wa kwanza umeenda vizuri kiasi, mwaka wa pili umekua mbaya sana,kwani kapigwa discontinue, so hapa kanitumia matokeo yake ili nijaribu kumshauri nini cha kufanya. Anasema anaona hata aibu kumwambia mkewe kuwa kaliwa kichwa huko chuo.
Matokeo yake nitayaweka hapa ili mtoe mawazo yenu wakuu coz mimi binafsi nimemshauri aachane na mambo za kusoma kwa sasa aangalie maisha yake na familia yake tu.
View attachment 1974214
angeenda saut tuMshauri aachane na shule maana hata mimi ilinishinda hivyo