Huyu jamaa angu hana hamu na UDSM kwa hiki alichokipata

Udsm hakunaga units za 3, ni 8 au 12

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Totoz za udsm zisha pita na kichwa cha jamaa.
 
Mbona sasa mmeyapatia maisha? Shule nini bana kha!

Ndugu yangu! Hapa JF si ndio sehem pekee tunajifariji, nnaweza kuwa Tajiri, Msomi, Boss, Nna kila kitu ili kujifariji tu.

Natamani sana ningekua nimeyapatia...


Kikubwa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai na afya njema.

Elimu haimpi mtu uhakika wa kufanikiwa, lakini inafungua fursa na kukupa uwezo wa kutazama mambo kwa namna tofauti kupata majawabu ya changamoto tunazopambana nazo.

Your browser is not able to display this video.
 
@kasomi kumbe ni mbwembwe tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
🤣🤣🤣 Watu hampendi nifanikiwe badala mnipe pole ninyi mnanikandamiza😭😭😭
 
Kweli kabisa shule zipo kufilisi tu.
Mfano huyo aliye letwa kama mada hizo hela za ada angezifanyia kazi ingine si ingekuwa swala zuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanza shule zina wenyewe wengine nyota zao ni kuchunga mbuzi na biashara huko tusforce mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…