Huyu jamaa angu hana hamu na UDSM kwa hiki alichokipata

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanza shule zina wenyewe wengine nyota zao ni kuchunga mbuzi na biashara huko tusforce mambo
Umepita mlemle utafikiri unanifahamu vizuri.
 
Huyo jamaa ako kilaza, pamoja na kuwa in service lakini niliwanyoosha class balaa.

 
Dah udsm huwa pagumu na umri ukishaenda Plus mambo mengine ya maisha desa halipandi angeenda vyuo vya kata asinge disco
 
Miaka 38+ anaforce kusoma udsm tena undergraduate, hicho alichokipata ni stahili yake nadhani.
 
Mshauri atafute vyuo Ulaya au Amerika. Huko hakuna ujinga wa kuumizana kama kwetu ambapo maprofesa wazima wanataka waabudiwe na wapo pale kujonyesha wamesoma sana na kufelisha wenzao badala ya kuwasaidia. Ni aibu kwa chuo mwanafunzi kufeli tena mtu mzima anayejua anachofanya. Nadhani kuna aina fulani ya roho mbaya. Nilisoma pale sheria profesa mmoja mpumbavu aitwaye Kanywanyi akataka kunifelisha nikamzidi akili nikampigia na akashangaa. Kosa langu ni kwamba alisikia wanafunzi wenzangu waliokuwa wanasua sua nikawasaidia wakiniita profesa. Bahati nzuri baada ya hapo nilisomea nje na kumaliza shahada zangu zote vizuri bila pressure
 
Mwaka wa pili huwa mgumu sana sababu unafundishwa uhalisia wa course yenyewe sababu mwaka wa kwanza unafundishwa msingi wa course kwa hiyo ni pata shika nguo chanika vinginevyo uwe unasoma course ambazo unaenda kupiga paper ukitokea bar kugonga biere na huna mashaka yoyote kusoma kwao wanaita kugusa gusa au kupitia pitia notes na kufauru[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Sasa angesoma SUA ingekuaje kama Ud ame disco?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…