Huyu Jamaa Hakuna Rekodi Atakayoiacha Salama!

Ni mapema sana, kuna msimu moto kama huu alianza nao Anelka kule darajani mwisho wa siku kiatu wakabeba wenye nacho.
Tulia tu, kuna ishu za majeruhi pia, huwa zinavunjaa mipango kama hii, akamuulize Neymar
 
medie kengele
Age :40yrs
Halafu anawaambia ana miaka 31!!..ina maana hata yondani ni mkubwa kwake!
 
Avunje kwanza zile rekodi za Mavugo ulizokuwa unatuambia miaka 2 iliyopita ?
Mikoani kuna suala la ubora wa viwanja.
Kagere atakata pumzi mapema tu kama Dan Sserunkuma..mark my words
Umehamia Kwa Kagere tena? Vipi Okwi?

Huyo Magere wako usimwamini asbh hiii, ndio mech mbl kacheza.lig ndio imeanza.

Huyo Kagere wa kawaida sana
Leo kacheza utumbo mpaka kocha kaona amtoe tu
Ndio anaanza kupotea hivyo
Ni mapema sana, kuna msimu moto kama huu alianza nao Anelka kule darajani mwisho wa siku kiatu wakabeba wenye nacho.
Tulia tu, kuna ishu za majeruhi pia, huwa zinavunjaa mipango kama hii, akamuulize Neymar
Hana lolote ni wa kawaida sana anakabwa mpaka na mabeki wa Ndanda!!!
Huyu ndugu yangu tayari atakuwa katika eneo korofi kuhusu suala zima la mtandao.
medie kengele
Age :40yrs
Halafu anawaambia ana miaka 31!!..ina maana hata yondani ni mkubwa kwake!
Na sisi tunakutunzia rekod yako hii tutakukumbusha
Watani zangu.. Nawatakia maandalizi mema ya J3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…