Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe TEAM majariwa😊Kuzeeka ni Nini??
Jamaa ukikutana naye uso kwa uso uzee upo dhahiri shayiri!!
Kazeeka. Kama Mzee wa Msoga kaacha kupaka na yeye akiacha mvi zake zitaonekana.
Team Kassim.
Hakuna namna... Shikamoo wakati mwingine zinakera..,🤣🤣👋Mimi mwenyewe TEAM majariwa😊
Kwani uzee ni mvi?.Kuzeeka ni Nini??
Jamaa ukikutana naye uso kwa uso uzee upo dhahiri shayiri!!
Kazeeka. Kama Mzee wa Msoga kaacha kupaka na yeye akiacha mvi zake zitaonekana.
Team Kassim.
Tunapiga black kwenda mbele😊Hakuna namna... Shikamoo wakati mwingine zinakera..,🤣🤣👋
Umeona mvi tu. Suala la mvi limekuja baadae baada ya kusema kazeekaKwani uzee ni mvi?.
Kwao ni kujidanganya kiakili na moyo, uzee haujivichi hata unyoe para.Umeona mvi tu. Suala la mvi limekuja baadae baada ya kusema kazeeka
Kuna mvi za "ukoo au kinasaba" hizo hazina mjadala, lakini Kuna mvi zitokanazo na uzee.
Kwa Ivo wapo watu wana miaka 60 na hawana mvi nyingi na wapo wenye miaka 50 wana mvi nyingi.
Sasa wazee wengi hutumia madawa ya kuzitia weusi nywele zao Ili wasioneoane wazee.
Baby feeding for trivial things like this, is disgusting!
Labda.ni diwani siku hizi huyu jamaa.
Mimi watu maarufu nilioona hawazeeki mfano ni Maulidi Kitenge, Mwana-FA, Daniel Kijo, Khadija Mwanamboka, Ray Kigosi na Sugu. Kwasababu pia ni watu wa mazoezi.
Afu kweli, tangu nianze kumuona kwenye Kaole ni Mzee siku zote. Mpaka leo mie natarajia kupata wajukuu bado yuko vile vile… 😂Lini uliwahi kumuona huyu Mzee ni kijana?[emoji1787][emoji1787]View attachment 2967253
Nakazia NakaziaKwao ni kujidanganya kiakili na moyo, uzee haujivichi hata unyoe para.
Chuma HichoLini uliwahi kumuona huyu Mzee ni kijana?[emoji1787][emoji1787]View attachment 2967253
Kokoto halisiTunapiga black kwenda mbele😊
Anakunywa maji mengi sana!Kuzeeka ni Nini??
Jamaa ukikutana naye uso kwa uso uzee upo dhahiri shayiri!!
Kazeeka. Kama Mzee wa Msoga kaacha kupaka na yeye akiacha mvi zake zitaonekana.
Team Kassim.