Huyu Jamaa hazeeki miaka Sasa yupo vile vile

Huyu Jamaa hazeeki miaka Sasa yupo vile vile

ni diwani siku hizi huyu jamaa.

Mimi watu maarufu nilioona hawazeeki mfano ni Maulidi Kitenge, Mwana-FA, Daniel Kijo, Khadija Mwanamboka, Ray Kigosi na Sugu. Kwasababu pia ni watu wa mazoezi.
Kati ya hao ambaye haonekani kuzeeka mi naona ni Daniel Kijo na Khadija, tu wengine mbona wanaonekana live kabisa. Kama sugu we humuoni? Kitenge nae huoni alivyokongoroka?
 
Nadhani Sisi waTanzania tuna mitazamo hasi sana juu ya uzee........watu wanaoitwa wazee wala hawana sifa ya uzee........

Mtu wa miaka chini 60 akianza kukongoroka na kuchakaa sio kwa sababu ya uzee bali ni mfumo mbaya wa maisha........

Mwili unatunzwa kwa vyakula Bora na mazoezi mepesi mepesi........

Mimi kuna mabroo mimi nazaliwa nawakuta wana maisha yao lakini mpaka leo wanadunda na ukiambiwa hudhanii miaka yao........

Watanzania wengi wanazeeshwa na mitindo mibaya ya maisha pamoja na kutofanya mazoezi.........

Mazoezi mpaka Harambee za kiofisi au msimu......

Huyu jamaa ana miaka zaidi ya 60 lakini bado ana mwili mzuri....... waTanzania wengi umri huo wamebeba vitambi na nyama za kutosha mwilini......
1001223262.jpg
 
Mi tangu nikiwa mtoto Muhogo Mchungu nilianza kumuona hivyo hivyo mzee hadi leo yuko vile vile , sijui kama kuna mtu aliwahi kumshuhudia muhogo mchungu akiwa kijana
Yupogo Sana mwembe bamia near chamazi stadium, mbande.
 
Nadhani Sisi waTanzania tuna mitazamo hasi sana juu ya uzee........watu wanaoitwa wazee wala hawana sifa ya uzee........

Mtu wa miaka chini 60 akianza kukongoroka na kuchakaa sio kwa sababu ya uzee bali ni mfumo mbaya wa maisha........

Mwili unatunzwa kwa vyakula Bora na mazoezi mepesi mepesi........

Mimi kuna mabroo mimi nazaliwa nawakuta wana maisha yao lakini mpaka leo wanadunda na ukiambiwa hudhanii miaka yao........

Watanzania wengi wanazeeshwa na mitindo mibaya ya maisha pamoja na kutofanya mazoezi.........

Mazoezi mpaka Harambee za kiofisi au msimu......

Huyu jamaa ana miaka zaidi ya 60 lakini bado ana mwili mzuri....... waTanzania wengi umri huo wamebeba vitambi na nyama za kutosha mwilini......
NaView attachment 2967740
Umeeleza vizuri sana. Wengi wetu hatuna elimu juu ya lishe.

Mazoezi pia ni jambo lenye faida sana.
 
Huyo jamaa ana hela ni diwani huko mbweni kwa mama kizimkazi na ana mjengo wa maana na apartment pembeni anakula hela zake.
 
ni diwani siku hizi huyu jamaa.

Mimi watu maarufu nilioona hawazeeki mfano ni Maulidi Kitenge, Mwana-FA, Daniel Kijo, Khadija Mwanamboka, Ray Kigosi na Sugu. Kwasababu pia ni watu wa mazoezi.
ukute unamiaka 28
 
Back
Top Bottom