Huyu Jamaa hazeeki miaka Sasa yupo vile vile

Kwani uzee ni mvi?.
Umeona mvi tu. Suala la mvi limekuja baadae baada ya kusema kazeeka

Kuna mvi za "ukoo au kinasaba" hizo hazina mjadala, lakini Kuna mvi zitokanazo na uzee.

Kwa Ivo wapo watu wana miaka 60 na hawana mvi nyingi na wapo wenye miaka 50 wana mvi nyingi.

Sasa wazee wengi hutumia madawa ya kuzitia weusi nywele zao Ili wasioneoane wazee.

Baby feeding for trivial things like this, is disgusting!
 
Kwao ni kujidanganya kiakili na moyo, uzee haujivichi hata unyoe para.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…