Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Haya maneno yanaumiza sana...Duuh!! Umechelewa tayari kwani ameshaniwahi mzee mwenzangu Sesten Zakazaka. [emoji23][emoji23][emoji23] Teh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maneno yanaumiza sana...Duuh!! Umechelewa tayari kwani ameshaniwahi mzee mwenzangu Sesten Zakazaka. [emoji23][emoji23][emoji23] Teh.
😂😂😂 ushabiki tena.Nafasi iliyobakia awe mshabiki wako labda😂😂
Kwema lakini mamii? Ukakunywe chai basi
Pole sana.Haya maneno yanaumiza sana...
Ndio, nitaruhusu ushabiki tu, ule wa kutoa likes nyiingi kwenye post na si zaidi ya hapo🤪🤪🤪🤣🤣🤣😂😂😂 ushabiki tena.
Huku Alhamdulillah! 🙏🙏🙏
😀 Waswahili wanasemaga hii imesenti na delivadi juu. 🙏Ndio, nitaruhusu ushabiki tu, ule wa kutoa likes nyiingi kwenye post na si zaidi ya hapo🤪🤪🤪🤣🤣🤣
Umemaliza yote, sina la kuongeza😍😀 Waswahili wanasemaga hii imesenti na delivadi juu. 🙏
😍😍😍
Mkuu nakuomba niachie Shadeeya, moyo umezimika dhidi yake sijiweziNdio, nitaruhusu ushabiki tu, ule wa kutoa likes nyiingi kwenye post na si zaidi ya hapo[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitakutafutia mtoto matata sana kutoka Majani Mapana au Makorora pale Tanga, mwenye sauti nyoroooooro ya kumtoa nyoka pangoni na nikupatie na dolari za Kimarekani juu, lakini Shadeeya kaa nae mbali kilometa lake nane😀😀😀Mkuu nakuomba niachie Shadeeya, moyo umezimika dhidi yake sijiwezi
Niko makini sana napambana usiku mchana wasikukwapueNa kweli nilijua ni Diamond kweli babe, uwe makini😀
Plus bebes wakali vijijini [emoji23][emoji23][emoji23]Akawe tapelii Sasa akapigee helaa huko vijijini
Yule mjinga atajinyongaMshaanza kumpa kiki sasa, mnamfanya hamorapa atembee na minyororo shingoni.
Kafanana nae kweli ila ni kwasababu ana domo kubwa chapati hakunji!Leo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe
View attachment 1596613
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
HahaaaNdio maendeleo hayo, nchi imepiga hatua sana. Pongezi kwa Magu.
Huyu hapa [emoji41]View attachment 1599019