Huyu jamaa, namshangaa sana!

Huyu jamaa, namshangaa sana!

Watu wa aina hii wapo na n wale ambao hawana malengo na wanaamin kuwa mda wwte wakitaka kupata pesa wanapata...

Kuna kipindi nlishakuwa mvuvi, tukipanda chombo tunatokomea siku 3 hadi 4 ndan ya maji tukipiga kazi... Hapo tukitoka kila mmoja wetu anakuwa na mgao usiopungua 500k...
Tulikuwa tukipata siku 2 za kupumzika, then ya tatu tunapanda chombo tena.

Kuna watu ambao walikuwa wakisepa, wanatokomea hata wiki 2, akirud n kaishiwa pesa na ana madeni kibao.

Ataingia, atatoka na 500k na atapotea tena.

So n aina flan ya watu wanaotafuta pesa ili waitumie. Hawana malengo.
Kila mtu malengo yake ni kwamba yanatofautiana mda tu na sio kwamba Hana malengo kabisa rekebisha mtazamo wako katika hilo
 
Kila mtu malengo yake ni kwamba yanatofautiana mda tu na sio kwamba Hana malengo kabisa rekebisha mtazamo wako katika hilo
Na yule anayepata pesa na yote inaishia kwenye starehe ako na future gan vle[emoji848]
 
Watu wa aina hii wapo na n wale ambao hawana malengo na wanaamin kuwa mda wwte wakitaka kupata pesa wanapata...

Kuna kipindi nlishakuwa mvuvi, tukipanda chombo tunatokomea siku 3 hadi 4 ndan ya maji tukipiga kazi... Hapo tukitoka kila mmoja wetu anakuwa na mgao usiopungua 500k...
Tulikuwa tukipata siku 2 za kupumzika, then ya tatu tunapanda chombo tena.

Kuna watu ambao walikuwa wakisepa, wanatokomea hata wiki 2, akirud n kaishiwa pesa na ana madeni kibao.

Ataingia, atatoka na 500k na atapotea tena.

So n aina flan ya watu wanaotafuta pesa ili waitumie. Hawana malengo.
Nadhani kutokua na malengo,anaishi tu ilimradi anasogeza siku
 
Back
Top Bottom