Watu wa aina hii wapo na n wale ambao hawana malengo na wanaamin kuwa mda wwte wakitaka kupata pesa wanapata...
Kuna kipindi nlishakuwa mvuvi, tukipanda chombo tunatokomea siku 3 hadi 4 ndan ya maji tukipiga kazi... Hapo tukitoka kila mmoja wetu anakuwa na mgao usiopungua 500k...
Tulikuwa tukipata siku 2 za kupumzika, then ya tatu tunapanda chombo tena.
Kuna watu ambao walikuwa wakisepa, wanatokomea hata wiki 2, akirud n kaishiwa pesa na ana madeni kibao.
Ataingia, atatoka na 500k na atapotea tena.
So n aina flan ya watu wanaotafuta pesa ili waitumie. Hawana malengo.