Huyu jamaa panapostahili tumpe heshima yake...

Huyu jamaa panapostahili tumpe heshima yake...

I like his Fluency in Ngeli.....

This buddy is another.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji126][emoji126]hater napita tu[emoji23]
 
Hahahaaa nimecheka huyo aliyesema anawafanya wanaume wengine waonekane wasenge
 
Chid Benzi bhana, eti konki konki konki, nyege nyege nyege ndio mambo watu wanayotaka, lakini yeye anaimba mambo ya maana hapewi show!
 
Kweli wewe Bashite watu wanapiga kazi 24/7 analala masaa mawili na hiyo mwaka mzima mtu anaenyeka,sasa kumsifu domo kufanya show tatu tena za masaa mawili? yaani anatoka hotelini hadi kwenye show na gari,akimaliza masaa mawili anarudhishwa hotelini na gari,analala/anapumzika kisha kesho yake anapelekwa aiport na gari anapanda ndege hadi hotelini,anapumzika hotelini mpaka saa 7 anaenda kwenye show kwa gari anapiga masaa mawili anarudi hotelini halafu ndio unasema anapiga kazi?

Ukitaka kujua watu wanaopiga kazi nenda site mtu anabeba ndoo ya zege kwa masaa 6 mfululizo,mtu anatindua lami masaa matatu nonstop na anapiga kazi kwa miaka mitatu mpaka ghorofa linamalizika.

Kuna vitu vingine sio vya kuropoka hata kama unalipwa na domo kuja kumsifia humu....sio wote mabashite wanaoweza kuvumilia upuuzi.
 
Umejifikiria kabla ya kuandika hapa? Au umejikuta tu.
Nyuzi za kumsifia Domo zimezidi sana mkuu,ni upuuzi mwanamme mzima unanunuliwa simu na bando kuja kumsifia mtu....Mambo ya kupiga kazi kwani nani ambaye hapigi kazi? Wasifie vitu positivi kama ile ya kumlipia hawa matibabu,kumpa mlemavu bajaji,kumpa lukmba gari etc na sio sifa za kijinga humu sizizo na kichwa wala miguu.
 
Nyuzi za kumsifia Domo zimezidi sana mkuu,ni upuuzi mwanamme mzima unanunuliwa simu na bando kuja kumsifia mtu....Mambo ya kupiga kazi kwani nani ambaye hapigi kazi? Wasifie vitu positivi kama ile ya kumlipia hawa matibabu,kumpa mlemavu bajaji,kumpa lukmba gari etc na sio sifa za kijinga humu sizizo na kichwa wala miguu.
Binafsi, sijaona tatizo kwa mleta mada. Tunatofautiana.
 
Binafsi, sijaona tatizo kwa mleta mada. Tunatofautiana.
Kinachosikitisha ni watu wale wale kila siku nyuzi za KIBASHITE kumuhusu DOMO hata kama unalipwa waende kwenye page zao huko insta na facebook wakamsifie na sio humu jukwaa la JF hata kama ni CELEBRITY FORUMS leta habari za maana kumuhusu celeb na sio habari za nyegezi au sengerema au kunduchi.
 
Mimi huamka saa kumi kila siku na kurudi saa nne usiku isipokuwa jumapili

Sema tu zijazimiliki bado
 
Hahahaaa nimecheka huyo aliyesema anawafanya wanaume wengine waonekane wasenge
Jamaa kaongea point wanawake mna tabia ya kupenda wanaume wenye mafanikio bc hpo ndani ya nyumba unaonekana mngese tu kisa anakucompare na flan!
 
Kwa sababu wanasema samaki mmoja akioza wote wameoza acha nikae kimya
Jamaa kaongea point wanawake mna tabia ya kupenda wanaume wenye mafanikio bc hpo ndani ya nyumba unaonekana mngese tu kisa anakucompare na flan!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji848][emoji51][emoji51][emoji51]Aisee hivi ni kwanini kwenye mautofauti yenu huwa mna waingiza wakina mama tena kwa dharau kosa kuwaleta Duniani nyie KIMA.
 
Kweli wewe Bashite watu wanapiga kazi 24/7 analala masaa mawili na hiyo mwaka mzima mtu anaenyeka,sasa kumsifu domo kufanya show tatu tena za masaa mawili? yaani anatoka hotelini hadi kwenye show na gari,akimaliza masaa mawili anarudhishwa hotelini na gari,analala/anapumzika kisha kesho yake anapelekwa aiport na gari anapanda ndege hadi hotelini,anapumzika hotelini mpaka saa 7 anaenda kwenye show kwa gari anapiga masaa mawili anarudi hotelini halafu ndio unasema anapiga kazi?

Ukitaka kujua watu wanaopiga kazi nenda site mtu anabeba ndoo ya zege kwa masaa 6 mfululizo,mtu anatindua lami masaa matatu nonstop na anapiga kazi kwa miaka mitatu mpaka ghorofa linamalizika.

Kuna vitu vingine sio vya kuropoka hata kama unalipwa na domo kuja kumsifia humu....sio wote mabashite wanaoweza kuvumilia upuuzi.

Kwahiyo hapo anakuwa hajafanyakazi?!

Naww ni GT
 
Back
Top Bottom