Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

Mimi sina shida na Yanga kudai uhalqli wa bodi ya ligi kughairisha mchezo shida yangu ipo kwa Yanga kwenye hiyo barua yao kudai points 3 za mezani na magoli matatu
Sasa kama hauna shida na Yanga kudai uhalali wa bodi ya ligi kughairisha mchezo, utapataje majibu juu ya uhalali au usahihi wa Yanga kudai point3?

Tuanzia kwanza kwenye kiini cha tatizo ambalo ni la bodi ya ligi kuifuta ile mechi ni sahihi au sio sahihi. Kwasababu kama ni sahihi basi inafuta uhalali wa Yanga kudai hizo point 3 na kama sio sahihi walichofanya itaipa uhalali wa Yanga kudai point3.

Uzuri haikupita hata wiki Misri imetufundishwa kuhusu usimamizi wa ligi kwa kufuata kanuni bila kujali ukubwa wa timu inapaswa uweje.
 
Hebu na wewe tumia akili yako, yanga atapewa points 3 kivipi??? Kabla hatukulaumu wengine tuanze uelewa wako.

Utopolo wanadanganywa na mtoto mdogo kamwe, yaan kuanzia viongozi mpaka mwanasheria wao hawatumii akili ukitaka kuamini rudi kwenye kesi ya KAGOMA
Yaani kujadili suala ambalo chanzo chake ni upumbavu na kusifiana eti fulani ana hoja nzuri ni upuuzi.
Kuna mwanamke au mwanaume alinyooka kwenye upumbavu. Waachieni wenye mambo yao wayamalize wenyewe, musitafute sifa kwenye upumbavu
 
Back
Top Bottom