Huyu kaka ana jinsia gani?

Madam X Huyu Sio kichwa desktop kweli?





 
Will have to deal with how I deal with gay man...

Mvua hua inatoka juu na kunyea ardhi, unapokuwa unataka itoke chini iende juu unakuwa unabishana na asili.

Ndo jambo linalomkumba huyo mlokole.
 
Mvua hua inatoka juu na kunyea ardhi, unapokuwa unataka itoke chini iende juu unakuwa unabishana na asili.

Ndo jambo linalomkumba huyo mlokole.

Hakuna kinachoanzia juu kuja chini kiasili. Vyote vinavyoonekana kuanzia juu kuja chini vina asili ya kuanzia chini.

Na kwa kweli juu na chini ni concepts zinazotokana na umasikini wa mawazo yetu kutokana na ufinyu wa maono yetu tu.

Rekebisha analogy yako.
 
lakini hata katika dini kuna kitu wanaita 'mseja'

ni mtu anaamua kuishi single kwa sababu zake mwenyewe.
 

Mie niko karibu na makomredi kuliko mitume.

Lakini kuna kauli nyingi tu za mitume kama hizi zenye mantiki siwezi kuzipinga.

Kimsingi logic ya maneno yako inazunguka palepale nilipopiga mara nyingi tu katika uzi huu.

Kama mtu kajiona hawezi kuishi na mwanamke, tuheshimu oni hili.

Kwa maana hakuna mtu anayeweza kumuelewa mtu mwingine zaidi ya mtu mwingine huyo anavyoweza kujielewa mwenyewe.

Full stop.
 
lakini hata katika dini kuna kitu wanaita 'mseja'

ni mtu anaamua kuishi single kwa sababu zake mwenyewe.

Watu kwa kawaida wanapenda mno kufuatilia undani wa maisha ya watu.

Halafu kimakosa wanadhani mwanaume akioa ndiyo kama vile inamuondolea yeye uwezekano wa kuwa gei.

Ila sielewi kwa nini watu wazima na maisha yao wahangaike na kutaka kujua maisha ya undani ya mtu mzima mwingine. Kwangu huo nauona ni uafkani tu.
 
lakini hata katika dini kuna kitu wanaita 'mseja'

ni mtu anaamua kuishi single kwa sababu zake mwenyewe.

Si ndo hapo utashangaa watu wanapotaka kupiga vita vitu ambavyo hata kimapokeo na kidini vimehalalishwa? Kwa misingi ya kufuata proprieties zote za ustaarabu!
 
mademex watu wa namna hiyo wapo, tatizo kubwa linakuwa lipo kisaikolojia.

1.0 Endapo mtu huyo alikuwa anajihusisha na mchezo wa kupiga kunyeto basi inaweza kuwa hayo ni madhara yake. Watu waliokubuhu katika kupiga nyeto wana sifa ya kuwachukia wanawake kwa mantiki eti wanawake si wasafi na ni wasumbufu kuliko kupiga nyeto.

2.0 Kuwa shoga kwa mazingira uliyosema siyo rahisi, na kama ingetokea hivyo ni lazima tabia hiyo isingejificha maana kuna kipindi angekuwa anahitaji kupigwa nao na kwa mantiki hiyo angekuwa ameshawahi kumsumbua mtu yoyote hapo mtaani na stori kujulikana.

Nina uzoefu na hawa wanaitwa gay person kama mkilala wanaume kwa wanaume wengine hushindwa kujizuia na kuanza kuonyesha dalili za kike na hivyo kujikuta hata kama ushahidi wa 100% haupo lakini hisia za kuwa fulani ni shoga zipo.

Tatizo kubwa la huyo ndugu yako ni hilo tu la kisaikolojia, labda hajiamni katika mambo hali pia inayopelekea kukosa confidence katika mambo yake hasa ya kimahusiano.

Al last mama mtu anaweza kuwa anajua siri ya mwanae kubwa maana nasikia ingawaje sina uhakika eti kama mtoto hasimamishi tokea akiwa mdogo mama hujua. Endapo itakuwa basi jamaa huyo labda inamuathiri japokuwa wengine wenye asili kama hiyo hutongoza sana ili waonekane wazima kumbe hakuna.

Achanane na mambo ya hisia wazazi wa huyo jamaa wamuite waseme na mwanae ili wajue nini tatizo.
 
Last edited by a moderator:
wakati mwingine jamii tunawalazimisha watu kuwa wasichotaka kuwa na labda hawawezi kuwa hivyo.

Imagine huyu kaka wamlazimishe kuoa na kupata watoto.

Akija kuwa mme mbaya na baba mbaya tutashangaa??

Je tutakuwa na haki ya kumlaumu?

Na familia yake tutai-compasate vipi kwa taabu wanayoipata?

Kweli vitu vingine tunajitwisha mizigo isiyo yetu.

Si ndo hapo utashangaa watu wanapotaka kupiga vita vitu ambavyo hata kimapokeo na kidini vimehalalishwa? Kwa misingi ya kufuata proprieties zote za ustaarabu!
 
Nina uzoefu na hawa wanaitwa gay person kama mkilala wanaume kwa wanaume wengine hushindwa kujizuia na kuanza kuonyesha dalili za kike na hivyo kujikuta hata kama ushahidi wa 100% haupo lakini hisia za kuwa fulani ni shoga zipo.

Akhi huo uzoefu na hao watu umeupata wapi?
 
kuna mmama mmoja mmarekani (almost 70) alikuwa ananisimulia, kaka yake ni gay na familia haikuwa inajua maana aliamua kufanya siri, he was miserable.

Huyo kaka kuficha zaidi akaamua kuoa ili kuwapotezea, lakini alikuwa mlevi ana the worst husband, alifanikiwa kuzaa watoto wawili lakini maisha yalikuwa taabu sana ya ndoa.

Akaamua kuachana na mkewe na kuendelea na maisha yake. Baada ya wazazi wao wote kufariki yule kaka akamfuata dada yake na kukonfesi yeye ni gay.

Dada yake akamjibu, hakuna shida, bado nakupenda kama kaka yangu wa zamani. Yule mama akaniambia kaka yake alipata 'relief' kubwa sana kupata acceptance ya dada yake pamoja na kuwa kamwambia yeye ni gay.

Na amejitahidi hata kuacha pombe na kuwa useful citzen wa nchi.

So kama una ndugu gay, nyie wa karibu yake mkamtenga, sisi wa mataifa unategemea tutamfanya nini?
Maana hatuna upendo huo kwake kama walio karibu naye.

 

Wabongo kwa kujitia pambani kwani utawaweza?!

Wanajua vizuri sana kuwa kuoa hakumaanishi kuwa mwanamme si gay, lakini wao wanahiari mtu aendeleze u-gay wake akiwa kwenye ndoa kwa kile wanachoita kuficha "aibu"

Hapa Madame X tayari ametuonyesha kuwa kwake ni bora huyu ndugu yake angekuwa mhuni akazaa ovyo ovyo kuliko kuwa na heshima yake na kutulia bila ya mwanamke.

Kufuatiliana hivi ndiko kunakosababisha stress zisizo msingi.
 

Asante,

Kwa kusema "tunajua majibu" kwa kesi ya mtu tusiyemjua - indeed ambaye anaweza kuwa wa kufikirika tu, asiyekuwepo kwa mfupa wala nyama, kwa maana ya kwamba hakuna ushahidi zaidi ya mineno ya jamvini hapa- unazidi kuthibitisha wazimu wako.
 

Kiranga povu la nini sasa?
 
Utampaje msaada mtu ambaye hataki msaada? Na pengine process nzima ya kumpa msaada itamuondolea privacy yake anayoitaka mwenyewe?

Hapo ndipo mnapoanza umbea na kuufunika kwa vazi la kujali na msaada.

Hamna lolote zaidi ya umbeya tu.

Call it whatever you wish, unahakika gani kama the whole process will invade the his privacy or just merely making assumptions.
 
Kwani kuoa lazima? tatizo watu wengi mkifika umri wa miaka 12 mmeshaanza kuzini. Watu kama hao huwa wananunuaga kwenye madangulo we tembelea mida ya usiku kwenye night clab unaweza ukamkuta. Mbona mie mapenzi nilianza baada ya kumaliza chuo nikiwa na miaka 25. Hii ni kawaida mwacheni anamipango yake pengine Mungu anataka kumtumia.
 
Madame X

Huyu kama ni mtu wako wa karibu sana kama ulivyotueleza hapa, unaonaje ukaenda moja kwa moja ukamuuliza mwenyewe kuliko kumsimanga hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…