Huyu kaka ana jinsia gani?

Huyu kaka ana jinsia gani?

Kwanza kuwa kwenye closet au gay ni uamuzi wa mtu, kwa hiyo hata kama ni gay (I am not saying kwamba jamaa ni gay, hata kama) ni maisha yake kaamua. Kuanza sana kumfuatilia kwa sababu yeye ni gay kunaonyesha unapenda ma gay na possibly wewe ni gay hata kama subconsciously. Watu wengi sana wanaojifanya kupinga ma gay wamekuja kukutwa wao wenyewe ni ma gay pia.

Na kuona mtu kutetea mtu kuishi maisha anayotaka "ni suspect" kuna reveal ulivyozama katika a narrowminded culture ya kutoelewa kwamba duniani kuna watu tofauti na so long as mtu hajakuingilia kwenye anga zako, mwache awe anavyopenda.

Hizi habari za kutaka kila mtu awe kama wewe ni matokeo ya ushamba na kukulia katika jamii masikini ambazo hazijui dunia ya kijiji cha pili inaendaje.

:wacko::wacko::wacko::wacko::wacko::wacko::wacko::wacko: well ni maisha yake, kaamua kuwa GEI, na haina haja ya kumtetea kwani ni maisha yake, kama vile wewe ulivyoamua na maisha yako

ni sawa tu, kujitambua kuwa ni GEI ni muhimu sana kuliko kukwepesha-kwepesha facts

AISEE HIVI KWANINI WANGSE WENGI NI ATHISTS?
 
:wacko::wacko::wacko::wacko::wacko::wacko::wacko::wacko: well ni maisha yake, kaamua kuwa GEI, na haina haja ya kumtetea kwani ni maisha yake, kama vile wewe ulivyoamua na maisha yako

ni sawa tu, kujitambua kuwa ni GEI ni muhimu sana kuliko kukwepesha-kwepesha facts

AISEE

Hapangekuwa na haja ya kumtetea kama watu wasingeanza kumchunguza na kumsemasema.

Kama unatambua kwamba haya ni maisha yake na hakuna haja ya kumfuatilia fuatilia kama vile wewe huna maisha yako, usimfuatilie na kumsema.

Wala hutaona nakuja kumtetea hapa. Nitaanzia wapi?
 
aisee ngoja niendelee kwanza na kazi ntarudi bidae kuzidi kuichambua kadhia hii../
no homo/
 
Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?

km unaona uliyemuunganisha nae anakosea au jamaa khvyo unavyodhania,lala nae ukiwa uchi uone shughuli yake!usije omba pooooo!
 
..and most of them are really volatile & angry too..for no reason.
kaz kwelkwel.

Ukweli ni kwamba kuna ushahidi kabisa kwamba miongoni mwa wanaojifanya kupinga ma gay kwa nguvu kabisa kuna ma gay wengi tu, wanajisikia guilty na katika kujazia ndo wanajitia prominent anti-gay crusaders.

On the other hand, mtu anaweza kuwa na principle tu ya kutetea minority yoyote. Non-whites in a white majority country, left handed people in a right-hand majority population.Wasioamini katika population iliyojaa waumini.

Ni mambo ya kuwa na uelewa tu kwamba dunia inavyoenda kuna watu tofauti, na huku kujidai shingo kavu kupinga vitu ambavyo vipo hakuna mantiki.

Na mtu kutetea watu waishi kama wanavyotaka hakumanishi mtu ni gay.

Mie natetea mashoto wapewe haki zao jeshini, wapewe silaha zilizotengenezwa kwa ajili ya mashoto, kwa sababu si kila mtu anatumia mkono wa kulia. Na mashoto wana haki na wajibu wa kuwamo jeshini.

Hilo halimaanishi mimi ni shoto.

Kuhusu kuwa passionate mi karibu kila ninachoandika naandika kwa passion, kwa hiyo likikusumbua hilo ukaliona hapa tu ni tatizo lako.
 
Hapangekuwa na haja ya kumtetea kama watu wasingeanza kumchunguza na kumsemasema.

Kama unatambua kwamba haya ni maisha yake na hakuna haja ya kumfuatilia fuatilia kama vile wewe huna maisha yako, usimfuatilie na kumsema.

Wala hutaona nakuja kumtetea hapa. Nitaanzia wapi?

Kiranga naona unakimbizana na kichaa!!achana naye kabla hujaonekana kichaa pia,yaani pamoja na ujanja wako unashindwa kumwelewa mtu?
 
Kiranga naona unakimbizana na kichaa!!achana naye kabla hujaonekana kichaa pia,yaani pamoja na ujanja wako unashindwa kumwelewa mtu?

Nashukuru umeliona hili.

Ila inabidi ku expose level fulani ya ukichaa kabla ya kuacha mjadala, maana kuna wananchi wengine wanaweza kufikiri hiki kichaa ndio uungwana wenyewe, na wakaona hamna walio na hoja za kuupinga.
 
cd2bc46d_thread-derail-1953.jpg lol
 
Hapangekuwa na haja ya kumtetea kama watu wasingeanza kumchunguza na kumsemasema.

Kama unatambua kwamba haya ni maisha yake na hakuna haja ya kumfuatilia fuatilia kama vile wewe huna maisha yako, usimfuatilie na kumsema.

Wala hutaona nakuja kumtetea hapa. Nitaanzia wapi?
ok............ kama umeeleweka, loud and clear :eek2:

ASEEEEEEEE
 

Thread bado ipo kwenye direction.

Ila imechukukulia suala katika kina zaidi.

Badala ya kujikita katika maswali kama "Huyu kaka ana jinsia gani?" "Mzima au vipi?"

Kuna swali kubwa zaidi limeibuka.

Hivi ni ustaarabu kuanza kumfuatilia mtu mzima katika mambo yake mwenyewe juu ya namna anavyotaka kuishi? Au hamna haja na uzabizabina huu wa kufuatiliana maisha unatokana na umaskini wa mawazo tu?

Hakuna derail hapo.

Kuna depth tu imeongezeka.
 
Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?


Mmmhhh..!!!:confused2:...........Penye miti hakuna wajenzi.
 
Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake.

Watu mnatabu sana. Yaani mnahiari angekuwa mhuni mhuni hivi na walau mtoto wa kusingiziwa pahala, kuliko kukaa kwa kujiheshimu na mambo yake?!

Kisha ati tunalalamika maadili yameporomoka Tanzania.
 
habari zenu wakuu, nina mtu
wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa
kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was
very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo
mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka
maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha
kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na gf kama kawaida ya
wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana
hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu
kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege
nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi
next level.

Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume
kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?

unapata dhambi kumuhic mtu vibaya,mbn watu km hao wk ktk jamii ni life style ya mtu alojichagulia na hujitokeza kwa kuzidi kwa dini sana humuogopesha kl kt,ht mm naelekea huko kutokana na ulaghai wa wanaume.
 
Thread bado ipo kwenye direction.

Ila imechukukulia swala katika kina zaidi.

Badala ya kujikita katika maswali kama "Huyu kaka ana jinsia gani?" "Mzima au vipi?"

Kuna swali kubwa zaidi limeibuka.

Hivi ni ustaarabu kuanza kumfuatilia mtu mzima katika mambo yake mwenyewe juu ya namna anavyotaka kuishi? Au hamna haja na uzabizabina huu wa kufuatiliana maisha unatokana na umaskini wa mawazo tu?

Hakuna derail hapo.

Kuna depth tu imeongezeka.
nilishangaa kuona maswali ya ugay yakiletwa na kuongelewa utadhani madame X kasema aliwahi kumuona jamaa akijivinjari na kaka mwenzie.


hapo bold ni swali zuri, wahenga walisema 'pilipili usiyoila yakuwashia nini'
 
Back
Top Bottom