Huyu kaka ana jinsia gani?

Huyu kaka ana jinsia gani?

kabisa
lakini percentage ya wao kujihusisha na hayo inakuwa tofauti sio?
i mean msomi atanunua gazeti la udaku but still atanunua na gazetii serious ajue nchi inavyokwenda?
au atasikiliza kiduku lakini wakati wa taarifa ya habari ata pay attention na news
na sio full kiduku 24/7....
but ukikuta msomi anasikiliza kiduku 24/7 lazima ujiulize 'usomi wake' sio?

Mambo wanayofanya wasomi nyuma ya pazia utashangaa mwenyewe. Na siku hizi wala mtu huhitaji kwenda kwenye newsstand kununua gazeti. Access karibu ya kila kitu iko one click away.

Kwa hiyo asilimia ya wao kujihusisha na triviality hatuwezi kuijua hata kwa kukisia tu ingawa it's safe to say na wao wamo.
 
Umasikini wetu una sababu nyingi sana. Mojawapo ni hii ya kupoteza muda kufuatilia nani kala nini, nni rijali, nani khanithi.

Sijawahi kuona thread ikiuliza nani ka solve conjecture fulani ya hesabu ambayo haina ufumbuzi.

Wenzetu wamepeleka chombo Mars sijaona thread hata ya ku copy paste na kuonyeshana picha tu.

Lakini hizi za fulani mbona hana demu kibao.

And then we have the nerve to wonder why are we poor as a society.

Acha kujifanya unajua sana this is MMU forum, how do you expect us to discuss mahesabu au Mars.
 
Why are you worried about his sexuality? Do you want him or something?

Ukweli kuwa mtu kama ni gay hana sehemu kwenye familiya or atleast we are not gay friendly ukweli ndio huu.
 
Habari nzima ya kumuuliza mtu "kwa nini huoi" inawezekana kwa watu waliokosa ustaarabu tu. Kwa sababu inaingilia privacy ya mtu. Halafu swali lina assume kama kuoa ni lazima wakati si lazima. Swali lina betray ignorance ya muulizaji.

Pengine mtu ana matatizo ya kiafya, let's say si gay wala nini, lakini kashajulikana kwamba ana kifafa kikali sana ama kichaa ama ugonjwa wowote ambao akioa ama atampa kazi mke wake ambayo si ya lazima au kuuendeleza kwa watoto wake.

Kwa hiyo kaamua kuuchuna kivyake kwa kuwa considerate kwa watu wengine, hataki kuwapa mzigo.

Wabongo watamshikia bango "kwa nini huoi?" swali ambalo ni cumbersome kwa sababu linaingilia undani wa mambo yake ya kiafya.

Kwa hiyo utaona hapo kwamba hili swali si la kistaarabu, linamchimba mtu na linaweza kuibua mengi ambayo ni ya faragha ya mtu binafsi.

Lakini wapi.

Kwa tamaduni za nchi masikini ambapo faragha ni kitu adimu swali hili (pamoja na lingine "unafanya kazi wapi/gani?") linaonekana ni rahisi tu.

Ni umasikini wa mawazo tu ndio unaoweza kuwafanya watu washupalie maswali kama haya.

Kama na psychological pia ni jambo la kufikiriwa kupatiwa msaada. Maaana sidhani mtu wa aina hii atakuja akasema mimi nafikiri nina matatizo, unless those around him notice
 
And how do you deal with gay men?
Kweni wewe mmoja wao, naona imekukwaza sana habari hii, naona umeconfuse the whole idea ya hii thread. Naona level ya understanding pia iko mbali, hayo mambo ya ugay mmliyaanza nyinyi naomba urudi kuisoma the very initial post of mine, I didn't insist the guy is gay.
 
Kweni wewe mmoja wao, naona imekukwaza sana habari hii, naona umeconfuse the whole idea ya hii thread. Naona level ya understanding pia iko mbali, hayo mambo ya ugay mmliyaanza nyinyi naomba urudi kuisoma the very initial post of mine, I didn't insist the guy is gay.

Hujajibu swali.
 
mie mwenyewe nna bro wangu yupo hvo hvo anachezea 30 huko, yy anadai hatak stress za kwenye mapenz so kila mtu kamuacha anamuangalia tu, na msela anazeeka hv hv.......................
 
Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?

Ulitaka akutongoze ndio uamini sio shoga?
 
Tatizo namba moja la watu wengi waliooa, wakishaoa wanataka na wanaowajua wote waoe otherwise wanaanza kujishtukia kama walifanya maamuzi sahihi. Kwa kifupi wanatafuta validation ya ndoa zao kwa kuwasukuma marafiki zao waoe/olewe, taabu tupu!
 
Acha kujifanya unajua sana this is MMU forum, how do you expect us to discuss mahesabu au Mars.

To the contrary, wanaojua sana hawaji ku-discuss JF, bali wasiojua sana.

Tatizo wewe unakojiweka hata wasiojua sana hawapo.

Kuna imbeciles fulani hivi wenye kwenda kwa basic instincts ambazo hata jellyfish na sea urchins hawakosi.
 
Kama na psychological pia ni jambo la kufikiriwa kupatiwa msaada. Maaana sidhani mtu wa aina hii atakuja akasema mimi nafikiri nina matatizo, unless those around him notice

Utampaje msaada mtu ambaye hataki msaada? Na pengine process nzima ya kumpa msaada itamuondolea privacy yake anayoitaka mwenyewe?

Hapo ndipo mnapoanza umbea na kuufunika kwa vazi la kujali na msaada.

Hamna lolote zaidi ya umbeya tu.
 
Tatizo namba moja la watu wengi waliooa, wakishaoa wanataka na wanaowajua wote waoe otherwise wanaanza kujishtukia kama walifanya maamuzi sahihi. Kwa kifupi wanatafuta validation ya ndoa zao kwa kuwasukuma marafiki zao waoe/olewe, taabu tupu!

Umeona eeh?

Inakuwa kama washa-bugu step sasa wanataka kila mtu aende hivyo hivyo.

Kuoa ni wito wa mtu.

Mtu mwingine anaweza kukwambia anafuata nyayo za Bwana Yesu Kristo, hataki kuoa.Utamwambiaje?
 
Ukweli kuwa mtu kama ni gay hana sehemu kwenye familiya or atleast we are not gay friendly ukweli ndio huu.

Mtu utafute ushauri wa kitu cha faragha cha mtu mwengine kwa watu wasiomjua, kisha hitimisho likitoka kuwa ni gay umchukulie hatua kali!

Inasikitisha
 
Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
He could be straight (or gay) but kaamua tu kua hivo, kama ambavo wengine wanaamua kuoa, wengine wanaamua kuzaa bila kuoa, wengine wanaamua kuoa wake wawili. There are more than two/three options dear. Kuna thread ya Boflo, alikua anauliza "why are you single". Yeye mwenyewe katoa ten hypothesis, each of them as interesting as the other. I believe some can even be combined. Ukisoma majibu ndio utaona kua jibu haliwezi kua 1, 2 or 1,50.
 
kulingana na imani yangu ya dini...jamaaa anapata thawabu kwa kutooa.....mtume (s.a.w) alisema mwenyenye uwezo wa hali na mali basi na aoe..sasa madamex jamaa umesema ana mali inawezekana hana hali kwa maana ya uwezo wa kumridhisha mke......sasa ya nini kuoa afu asubuhi mwanamke kafungasha na kuondoka?? Au anavumila lakini anakuwa anatafuta liziko la nafsi nje ya ndoa??? Hapo si unakuwa unamfanyisha dhambi mwenzio?...
 
Back
Top Bottom