[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namshukuru Mungu sijambo!
Kuna bundi mmoja kaahidi kuniweka dp hivyo moyo wangu kwatu kabisa [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Jamani Mzigua, namaanisha bundi mwenzangu wa usiku wa manane lol [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mara kawa bundi. Mungu anakuona ujue
Asante dear![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila la kheri mpenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zako kuharibiana huko vipiiiiiAhahahaaaaaa mydear sio kila anayekuweka dp anakupenda, mwingine analengo la kukuharibia [emoji26].
So ili tusiharibiane hakuna kuwekana kila mtu apambane na hali yake
Huyu kaka nampenda sijui namtamani ila ndo vile akiweka picha yangu dp ananiburudisha sana. Baby nakusubiri urudi tuendelee.
Yours
S....n
Unajua wanasemaga ‘feelings are mutual’.
Si ajabu naye ana-feel hivyo hivyo unavyo-feel wewe.....
Naomba niseme Amen [emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]
HongereniAhem[emoji120][emoji120]!
Kama mimi kweli aliharibu kweli maana na chuki zikaja [emoji52]Ahahahaaaaaa mydear sio kila anayekuweka dp anakupenda, mwingine analengo la kukuharibia [emoji26].
So ili tusiharibiane hakuna kuwekana kila mtu apambane na hali yake
Mpe mpe msukuma wa watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenimaliza.
Shunie hiki kitu nasema ila kina ukweli ndani yake ukilitazama kwa jicho la tatu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zako kuharibiana huko vipiiiii
Msukuma rafiki yangu jamani. Cc Nyani NgabuMpe mpe msukuma wa watu[emoji23]
Ahahahaaaaaa pole dearKama mimi kweli aliharibu kweli maana na chuki zikaja [emoji52]
Jaman poleni me nipo ndoani yaan nawekwa kama kawaida kama naiona michepuko huko ikinunua [emoji3][emoji3] jaman nawaombea mkuje kuolewa mje kuwekwa na mashemeji waliowaoaShunie hiki kitu nasema ila kina ukweli ndani yake ukilitazama kwa jicho la tatu.
Kuna mtu upo nae anafake kukupenda balaa at the same time kuna mtu anakupenda kiukweli anashinda kwenye nyumba za ibada kusudi tuu uwe mwanamke wa maisha yake wewe unazuzuka na dp ya tapeli kumbe jamaa linakufanya zezeta ili likukule vizuri ili hali halina mpango na wewe si ujinga huo,
Yule mwenye mapenzi ya dhati anavunjika moyo.
Aiseeh tukulane kwa starehe tuu tusidanganyane na kuzibiana riziki [emoji4][emoji4][emoji4].
NB ; hayo mambo tuwaachie wenzetu weupe, sisi weusi tumekuzwa na hali ya usiri mambo ya matangazo mpaka iwe OFFICIAL
Hao waliowaoa ndo wanatusumbua sisi wanatupenda wakati wamewaweka nyie dp. Kinachoweza kufanyika kifanyike tu bwana kama dp au moyoni haina nomaJaman poleni me nipo ndoani yaan nawekwa kama kawaida kama naiona michepuko huko ikinunua [emoji3][emoji3] jaman nawaombea mkuje kuolewa mje kuwekwa na mashemeji waliowaoa