Kwenda wapi mkuu?!!!si ungepanda #dreamliner tu mkuu
Labda anapenda michezo ya "rafu" hahahahaSure thing! Huo ni ukatili kiasi kikubwa sijui kwann Cute B anapenda wa hivyo!
Mbe! weeeeeeeeeeeee!!!! Nyie ni hatari aiseeee!!!!Duuuuu....! Sisi wakurya ni wapole sana mtoa mada anatusingizia
KWENUKwenda wapi mkuu?!!!
Vp umeshajifungua momyHapana shost, ni katili sana, anatisha
Duuuu hapana so kwa hasira hizo kushika mkaa wa motoJana nikiwa kwenye ofisi za kampuni za mabasi za Adventure na Saratoga jijini Mwanza niliona kituko cha kumalizia mwezi wa Julai, 2018 kutoka kwa kaka ambaye alijigamba kuwa ni mkurya na kweli lafudhi yake ni ya kabila la kikurya.
Kaka huyu ambaye alikuwa maeneo hayo ya ofisi waligombana na mwenzake (wote 2 wanaonekana shughuli zao sio mbali na ofisi hizo). Katika ugomvi huo yule kaka mwingine ambaye sio mkurya akamtukana yule mkurya tusi la kuhusu viungo vya siri vya mama yake mzazi, tusi ambalo wengi wanapenda kulitumia.
Kaka mkurya, alighadhibika sana kusikia tusi lile. Hapo pembeni alikuwepo muuza kahawa, amewasha jiko la mkaa na juu yake kabandika birika la chuma anachemsha kahawa kwa ajili ya wateja wake ambao walikuwa wamekaa kwenye benchi wakiwa wanaongea story zao hasa za kuhusu mheshimiwa Waitara kujivua ubunge.
Ghafla kaka yule mkurya aliyetukaniwa mama yake, akaepua lile birika la kahawa, AKACHOTA MKAA KWA MIKONO YAKE, AKAUSHIKA ULE MKAA MIKONONI KWA SEKUNDE KADHAA, HALAFU KILICHOFUATA AKAMFUATA YULE ALIYEMTUKANA, AKAMGANDAMIZIA ULE MKAA MGONGONI MWAKE, yaan sio kwamba alimrushia ule mkaa bali aliushikilia na kumgandamizia yule mgomvi wake mgongoni kwa mikono yake kwa sekunde nyingi!!!
Du! wateja waliokuwa wanakunywa kahawa walitimua mbio (wanaume wa Mwanza).
Nahuja mie nikasema hapa sitoki hadi nione mwisho wake, hapo kumbuka wanaume wamekimbia pamoja na muuza kahawa. Basi yule aliyekuwa anachomwa alipiga kelele za kuomba msaada lakini hakuna aliyemsogelea aliyekuwa ameshika moto nikiwemo na mimi.
Nililala usiku naota ndoto mbaya ya lile tukio.
Ulipoamka ukakuta umejikojoleaJana nikiwa kwenye ofisi za kampuni za mabasi za Adventure na Saratoga jijini Mwanza niliona kituko cha kumalizia mwezi wa Julai, 2018 kutoka kwa kaka ambaye alijigamba kuwa ni mkurya na kweli lafudhi yake ni ya kabila la kikurya.
Kaka huyu ambaye alikuwa maeneo hayo ya ofisi waligombana na mwenzake (wote 2 wanaonekana shughuli zao sio mbali na ofisi hizo). Katika ugomvi huo yule kaka mwingine ambaye sio mkurya akamtukana yule mkurya tusi la kuhusu viungo vya siri vya mama yake mzazi, tusi ambalo wengi wanapenda kulitumia.
Kaka mkurya, alighadhibika sana kusikia tusi lile. Hapo pembeni alikuwepo muuza kahawa, amewasha jiko la mkaa na juu yake kabandika birika la chuma anachemsha kahawa kwa ajili ya wateja wake ambao walikuwa wamekaa kwenye benchi wakiwa wanaongea story zao hasa za kuhusu mheshimiwa Waitara kujivua ubunge.
Ghafla kaka yule mkurya aliyetukaniwa mama yake, akaepua lile birika la kahawa, AKACHOTA MKAA KWA MIKONO YAKE, AKAUSHIKA ULE MKAA MIKONONI KWA SEKUNDE KADHAA, HALAFU KILICHOFUATA AKAMFUATA YULE ALIYEMTUKANA, AKAMGANDAMIZIA ULE MKAA MGONGONI MWAKE, yaan sio kwamba alimrushia ule mkaa bali aliushikilia na kumgandamizia yule mgomvi wake mgongoni kwa mikono yake kwa sekunde nyingi!!!
Du! wateja waliokuwa wanakunywa kahawa walitimua mbio (wanaume wa Mwanza).
Nahuja mie nikasema hapa sitoki hadi nione mwisho wake, hapo kumbuka wanaume wamekimbia pamoja na muuza kahawa. Basi yule aliyekuwa anachomwa alipiga kelele za kuomba msaada lakini hakuna aliyemsogelea aliyekuwa ameshika moto nikiwemo na mimi.
Nililala usiku naota ndoto mbaya ya lile tukio.
Waoga tuuMuraaa hawapendi maskhara kbs,
Kuna siku moja mkurya alikuwa kainama sasa mstari wa bonde matako ukawa nje!
Kuna jamaa akamtania oyooo muraaa mbona unaacha mali nje!wengine tukiona ivyo hali inabadilika.
Aroo mkurya aliinuka na kisu akaishindilia hapo kifuani kwa jamaa na muvi ndo ikaishia hapo
Siku moja nilishuhudia kitu cha ajabu sana,kuna jirani yangu mkurya alimpeleka mwanae kwa bibi yake huko tarime dogo akiwa na miaka 3,dogo akaishi huko kwa muda wa miaka 2,baba yake akaenda likizo akarudi naye.Wakuria hatutaki dharau,fanya yote ila dharau kwetu ni mwiko,tunang'oa roho ya mtu kwa sekunde
Kuna wanaume wa Dar wanaishi mikoaniSi mnawasifiaga wanaume wa mikoani?
Kweli mkuuKtk maisha yako jifunze kutokuwa na dharau.