Huyu kaka kabila la Mkurya alinishangaza!!!!

Walitangaza radio gani maana hili tukio ni la kutangazwa redioni mkuu
 
Mkuu sio uongo yaani mie mwenyewe nilishangaa japo sikukimbia. Nilijiulizani bangi au ni kitu gani. Nilitamani nimuombe nione mikono yake, lakini kwa jinsi alivyokuwa amefura kwa hasira nikaogopa!!!!
Huyo mkurya mwanafunzi wangu, hayo ndiyo mambo yangu kushika na kumeza makaa ya moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Wewe mwanamme wa Dar ulimsaidiaje yule jama aliyechomwa moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…