Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Chief of staff ni mnazimu Mkuu wa JWTZ ni kiongozi wa ngazi za juu Kabisa katika usalama wa Nchi hii, ndio mtu wa kwanza kujua idadi ya dhana za kivita. Ninachokuona ww unachokereka zaidi ni namna MPs wanavyomlinda, ndugu utaumia roho yako bure, na ww kama unajua Kabisa kuwa muda furani lazima mkuu apite Kwa nini usiwe unawahi mapema? Ili huo msafara usiwe unakukuta
 
Hahahahahaha....aise nimecheka kwa nguvu mno, kidogo nidondoke kwenye kiti, hahahahaha..
Laana za kunyanyasa raia hizo...
Hahahahahha...ni shida kwa kweli...ungerekodi mkuu tucheke zaidi...😀😀😀
Wewe ningerekodi wangeniambia sukuma kwa pua

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Niliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
Nilimuonaga msibani moro,jamaa mpole hata kuongea,anasalimiana na watu kwa unyenyekevu, nikajiuliza hivi huyu ni mkuu wa majeshi kweli? Aiseee..!
 
Jamaa anatoka zake Kilongawima wala hata hana Mbwembwe ...jioni akiwa nyumbani baada ya kazi anaingia kwenye kigari chake fulani hivi anasogea Jangwani Sea breeze meeting point na kidemu fulani cha bahari beach alichozaa nacho yupo Uk muda tu

Story mbili tatu anamuachia dolari huyoo anasepa zake



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chunga sana. Narudia chunga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…