kashesho
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 4,975
- 2,487
Asante kwa salamu mzima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa salamu mzima?
Yes mwamunyange alikuwa smart ,Niliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
Habari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Kuna watu wameruhusiwa kisheria misafara Yao kusubiriwa , rais ni mmoja wapo , nafikiri waziri mkuu , makamu rais nao wamo, wengine sijui , labda tuulize trafik ?Mkuu mimi ni mzoefu Wa hiyo barabara tangu enzi za mkwere kila asubuhi na jioni lazima kunakuwa na ving'ora vya hawa wajomba na tulishazoea huo utaratibu, mkuu all in all heshimu mamlaka husika hasa hawa mabaka mabaka ukileta ujuaji mwingi hawakawii kukufundisha adabu mpaka uhame mji na kuwachukia milele, mbona misafara ya rais mnapigishwa foleni mpaka Masaa mawili hulalamiki?
Du gari likakataa kuwaka na mbwembwe zote hizo, vipi hukuitwa wewe kuja hapa!!! Sukuma hii gari kwa meno mpaka iwake.Hawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi
Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti
Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka
Mimi bado naangalia movie tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
tena akiwa Tanzania ambapowatu humshangaa mwenyecheo?Kwanini mbona CDF unatembea na gari 3 tu bila MPs kuninginia na mabunduki. Chief of Staff ana nini cha ziada?
Na Zanzibar ikifika mida ya jioni kuna ving'ora kama huko kwenu, na tunajua kabisa mida hii niwahi kabla ya muda wa misafara kufika. Kikubwa tuvumilie tu haya mambo yapo kila kona.Unaweza kukuta hata hapo Zanzibar hujawahi kanyaga halafu unazungumzia duniani kote [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
True....Mida hiyo hiyo kila sikupredctability pattern not good ooh......
kila siku nyerere road anapita na magari matatuSi kweli Mabeyo pia ana msafara tena mkubwakuliko wa huyo mwingine mwenye gari tatu
MKUU CDF ANA ULINZI IMARA ZAIDI YA HUYO UNAYEMSEMA.. USIOGOPE MAMPs.. Mtu kuamua nn afanye..Kwanini mbona CDF unatembea na gari 3 tu bila MPs kuninginia na mabunduki. Chief of Staff ana nini cha ziada?
Habari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Mbona una jambajamba sana unatuchafulia new Burr umekula maharage ya wapi ptuu haya kalaleHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Sahihi MkuuHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Huu sio msafara wa kutoka kwa kimada kweli?Mbona wapo wengi wenye misafara ya namna hiyo. Tena kwa Bagamoyo Road kuna msafara mwingine unakua na gari tatu nyeusi nadhani ni V8 zile zinaenda kasi sana na kama ukichelewa kuwapisha barabarani kuna jamaa wamevaa suti wanafungua kioo cha dirisha wanakupa mkwara mzito
Hawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi
Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti
Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka
Mimi bado naangalia movie tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Naona issue ya V-wonder imewekwa kapuni kwanza, kipaumbele ni ku-deal na CHADEMA. Yajayo ni kichefuchefu[emoji41]Tanzania mpya
Wewe ndio uwe unaamka saa 9 usiku uwahi kwenye mihangaiko yako au hama mbezi nenda kaishi Mbagala vinginevyo simamisha msafara umwambie mwenyewe unaleta unafki na majunguHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.