Echisute
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 531
- 524
Hujakosea kabisa, ni jirani yangu huyo. Madaraka ya kulevya si unajua JIWE huyo ndiye Anaconda wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakosea kabisa, ni jirani yangu huyo. Madaraka ya kulevya si unajua JIWE huyo ndiye Anaconda wake?
[emoji765] [emoji765] [emoji41]napenda macho ya D. Mwamunyange kweli
Sana. Pale kwa Museveni yeye katikati ya msafara anaweza akasimama akaongea na simu kwanza tena akiwa ameketi katikati ya barabara kabisa huku raia wanasubilishwa kwenye foleni. Africa ni zaidi ya pasua kichwa mkuu.Kwa Africa ni jambo la kawaida tu
Nadhani hapa mleta uzi hazungumzii ukubwa wa cheo chake. Issue ni ile adha anayowapa walipa kodi ambao ndiyo wanaomhudumia kunyanyaswa utadhani siyo raia wake.Huyo ni mnadhimu wa jeshi au mtendaji mkuu jeshini cheo chake ni Luteni general MTU mzito Huyo.
Muda mwingine tunawalalamikia wazungu(Mabeberu) ila ukweli kuna ujinga sana Africa yetuSana. Pale kwa Museveni yeye katikati ya msafara anaweza akasimama akaongea na simu kwanza tena akiwa ameketi katikati ya barabara kabisa huku raia wanasubilishwa kwenye foleni. Africa ni zaidi ya pasua kichwa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mrangi wa Kondoa lakini ni mpole sana sidhani hicho wanachosema kama kina ukweli. Huwa anapita na msafara wake huwa hausimamishi magari.Sijasema hana msafara, ila sio huo wa kukuta watu eti wananing'inia na mi bunduki, mfano mzuri enzi zile za mwamunyange, waulize watu wa mbezi beach, walikuwa wanashangaa kama ni yeye ndio anapita hakuna mishemishe kabisa!! Hayo mambo ni hulka ya mtu, tu ndio maana akistafu anapata shida sana, mwisho wa siku lazima awahi kufa!! Tungepata na kabila lake huyo tungeweza kwenda mbele zaidi inawezekana analaumiwa bure tu
Hakuna naelewana nao sana
Hahahahahaha....aise nimecheka kwa nguvu mno, kidogo nidondoke kwenye kiti, hahahahaha..Hawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka Mimi bado naangalia movie tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sawa mkuu hata Mimi nilikuwa nataka kuliweka sawa tu yeye alijua ni brigadier general,chief of staff siku zote luten general, All in all ni changamoto za nchi ulimwengu wa tatu,Shida miundombinu yetu siyo rafiki.Nadhani hapa mleta uzi hazungumzii ukubwa wa cheo chake. Issue ni ile adha anayowapa walipa kodi ambao ndiyo wanaomhudumia kunyanyaswa utadhani siyo raia wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Kiutaratibu hawaruhusiw kufanya kaz trafk wanatakiwa kuwasiliana trfk na huwa wanasbabisha ajali sometimes wao jukumu lao n kuhakikisha mkuu wao anafika salama. Na ndio maaana hufokea watu kwasababu hakuna mawasiliano katika njia zote kuusio uongo
mimi binafsi wakati nasoma Tambaza high school 2003 tulikuwa tunamuona CDF General george waitara na gari yake 4 star akiingia ngome kila siku hakuwa ma vingora wala mbwembe kama za siku hizi, tuliwahi kumpungia mkono na yeye akarudisha salamu.
mwaka huu nilikutanana chief of staff YH Mohamed dodoma anamsafara kama wa magari 5 na MP wa kutosha,tena barabarani kila kona ya dodoma Millitary police wanafanya kazi za trafiki polisi, nilibaki na duwaa ni kajisemea zama zimebadilika
Kiwango chako Wivu kimeshafika hadi 85% sasa...... Kitaalamu hii ni hatari kwa afya Mkuu.Habari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Mzee baba anaonekana mtu humble sana.Wanasema mzee aligoma kuhamia huko ushuani Masaki,mpk barabara imetengenezwa fresh kabisa sababu ya mzee baba.Safi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gusa unaseHii ndio tatizo LA viongozi wengi wa Africa,hao walinzi wake huwa kama majambazi,kufokea watu,kama vile walichokibeba,ni kitu nyeeeti sana,
Mimi huwa najiuliza,kama wao ni wanajeshi waliobobea kwenye medani za kivita,kwanini wanakuwa na papara wanapokuwa wanamsindikiza kiongozi wao?kwanini wasikae kwenye foleni,kimya kimya,bila mbwembwe,wamlinde boss wao vzr,bila papala,maana wanachokifanya,huwa ni "Ku atract attention" kiasi kwamba kama kuna watu wabaya wanaweza kumdhuru boss wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
... huyu jamaa sijui ana tatizo gani. Mbona Jenerali Mabeyo tunapishana naye mitaa ya Segerea kila siku kikawaida kabisa bila wananchi kuwekwa pembeni au kugandishwa kwenye foleni. Anasahau kila mtu anawahi kwenye mihangaiko yake na sio yeye tu.
Chief of staff ni luten generali ni haki yake kuwa na msafara