Huyo atakuwa Director GeneralMbona wapo wengi wenye misafara ya namna hiyo. Tena kwa Bagamoyo Road kuna msafara mwingine unakua na gari tatu nyeusi nadhani ni V8 zile zinaenda kasi sana na kama ukichelewa kuwapisha barabarani kuna jamaa wamevaa suti wanafungua kioo cha dirisha wanakupa mkwara mzito
Police muwafungulie mashitaka wanavunja sheriaHivi hao viumbe wana elimu gani!! Yani upo 'wrong lane' na unafokea raia.
Poor education!!
Poor governance!!
Shame on them!
5/5
Inakera sana mkuuUjinga mwingi :misafara ,usumbufu wa trafiki,viongozi wa ndiiooooo.
Hatari sanaMabeberu weusi
Cheo chake nchake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general... general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
Alokwambia ni mabeyo nani?????Mbona Mwamnyange alikuwa jirani yetu na akitoka yeye ni gari yake tu na sana sana ni honi ila hakusimamisha mtu barabarani???? Mabeyo mbona wewe ni mtu wa amani kwa nini uwe hivi? I know you very well toka tupo Rwanda.
Mbona Mwamnyange alikuwa jirani yetu na akitoka yeye ni gari yake tu na sana sana ni honi ila hakusimamisha mtu barabarani???? Mabeyo mbona wewe ni mtu wa amani kwa nini uwe hivi? I know you very well toka tupo Rwanda.
ungeandika barua ya maoni.ukaifikishe pale makao makuu upanga.
Mkabidhi mlinzi ataipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief of staff ni mnazimu Mkuu wa JWTZ ni kiongozi wa ngazi za juu Kabisa katika usalama wa Nchi hii, ndio mtu wa kwanza kujua idadi ya dhana za kivita. Ninachokuona ww unachokereka zaidi ni namna MPs wanavyomlinda, ndugu utaumia roho yako bure, na ww kama unajua Kabisa kuwa muda furani lazima mkuu apite Kwa nini usiwe unawahi mapema? Ili huo msafara usiwe unakukuta
Mkuu wa majeshi ni nani kama siyo Mabeyo? Kama siyo yeye nani anaruhusiwa kusimamsha magari ili apite?
Huwa hapendi makuu sana basi tu watu hawamjui... huyu jamaa sijui ana tatizo gani. Mbona Jenerali Mabeyo tunapishana naye mitaa ya Segerea kila siku kikawaida kabisa bila wananchi kuwekwa pembeni au kugandishwa kwenye foleni. Anasahau kila mtu anawahi kwenye mihangaiko yake na sio yeye tu.
Nauona uongo flani hapa... Gari ya kiongozi inasubiri apande ndo iwashwe?? Au ulisimuliwa sehemu.. Labda kama ilikuwa movie kweli kama unavyosemaHawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi
Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti
Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka
Mimi bado naangalia movie tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Muongo huyo.. Gari ya kiongozi haiwashwi kiongozi akiwa ndani... Maandalizi hufanywa kabla hajatoka hata ndani... Mmesahau kiongozi mkubwa gari inamfata karibu na anakotokea! So maana yake iliposimamishwa ikazimwa??Mikwara yote gari la kusukuma
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
You are right