Huyu kanichosha

SASA kwann unaingilia Uhuru binafsi wamtu kutafuta ushauri ,unahakika gani Kua hapa hatopata Majibu muafaka naakatatua matatizo yake acheni kuingilia maisha binafsi yamtu,yy kaona hapa panafaa kwann ww useme hapafai non sense,kama SSH Tu!
 
Brother mbona kama comments hii inafaa Kua Uzi nimekua interested Sana nakama kuna muendelezo tupatie mkuu,how did you manage to break it up,and how many things kama job,watoto nandugu pia,hebu tusaidie Kaka tuko tunajifunza Sisi tunaopitia the same same thing!nawasilisha
 
Sasa uliamua nn mkuu maana naona uzi wa kitambo huu..ila penye miti hapana wajenzi
 
Kwa hiyo picha ulioweka ina maana mkeo ni pisi kali...ulikimbilia kuoa kisa pisi kali ambayo kichwan haina kitu...ndo shida sasa...we vumilia tu..yakikushindwa piga chini
 
Nikifikiria talaka huwa nafiriia watoto wangu wataishi maisha ya vipi bila Mimi nakuwa napata jibu LA msamaha!
Na kufikiria kwako kutakuumiza sikuzotee pole snaa uzuri watoto wanakuwa vizuri kama ukiweka ukaribu nawoo
 
Si mnaoa mata kol nyie?😂 mnajisahau kuwa sisi ndo tupo?😂😂
 
Wanasema wahenga kubadirisha tabia au hulka yamtu kaka bora uambiwe uhamishe mlima"""" maana iyo ishakuwa tabia fanya decision mapema kabla ayajazidi
 
We jamaa tafiti nyingi zinasema wanawake kwenye matako makubwa watoto wao wana akili
Bro tafiti nyingi zipo kibiashara ....kiuhalisia katika jamii wewe umeshawahi ona impact yoyote ya hao big tako ....zaidi ya kushinda wanayabinua, kupiga picha za kijinga ,kuyatingisha , twerking ....?
 
Tegea watoto wanajiweza wanajua kujifanyia baadhi ya vitu baada ya hapo piga chini
 
Wanasema wahenga kubadirisha tabia au hulka yamtu kaka bora uambiwe uhamishe mlima"""" maana iyo ishakuwa tabia fanya decision mapema kabla ayajazidi
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]
 
Kesi nyingine ni zakupeleka Polisi. Hapo siyo kumuacha tu inatakiwa iambatane na kuwekwa selo kwa muda halafu Mahakamani
 
Pole sana jaribu kushirikisha Wazazi wa pande zote mbili na viongozi wa Dini, usiache kuleta mrejesho kila lakheri.
 
What about your babies?
 
Pole sana mdogo wangu hapo huna mke ni kibaka aliye changamka kwa ushuri zaidi njoo pm na mengi ya kukushauli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…