Huyu kanichosha

jaribu kuanza kumlamba mkund....ataacha hyo tabia ya kushka shka cmu
 
aisee basi aanze kumlamba mkund
 
Pole sana...

Usimpe talaka... mtafutie nyumba ndogo, akili itamkaa sawa...



Cc: mahondaw
 
Pole sana kwa hayo unayopitia mkuu ila ikiwezekana mrudishe kwao kabla hujapata hasira zaidi ili isijikute unaenda kununua gunia za mkaa
 
Huyi mwanamke ulimpora mtu mpenzi wake au ulianza nae muda mrefu?
 
Foundation ya ndoa yako hukuijenga imara tangu mwanzo,... Na usije ukadhan yy hakupend, ni hulka tu..
Ila ushauri wangu kama kweli unampenda mkeep bize, ondoa house girls wote, simu pokonya,mpe ya tochi.. Kama akishindwa kufikia matakwa yako basi aombe talaka na sio ww... Nina maana yangu kusema usitoe talaka bila yy kusema amekushindwa.... Linda heshima yako kwa wanao mbeleni usije kuonekana mbaya kwa chuki za kupandikizwa wanao na mkeo.
 
Hii ndio picha yake? Bila picha ni sawa na kula mkate chai baadae
 
pole sana mkuu
 
Pole sana kwa hayo unayopitia mkuu ila ikiwezekana mrudishe kwao kabla hujapata hasira zaidi ili isijikute unaenda kununua gunia za mkaa
kweli kuu, gunia mbili na petrol lita 10 inatosha kabisaa
 
Uliangalia uzuri wake kabla ya kujua tabia,sikulaumu,wanaume wengi sana tunafanya hilo kosa,na mnapoanza mahusiano unafanya haraka kuoa ili wasikuzidi akili wajanja na pia kuwakomesha watu kuwa una mtoto mzuri,pole sana mkuu...
 
Kuna kila dalili mke wake kuwa ni CCM kwa sifa alizotueleza.
Duh! Pole sana Mkuu. Una mke mwizi, mvivu halafu hatimizi majukumu yake kama mke. Acha wengi waamue kuendelea kuwa mabachela. Pole sana.
 
Nilifungua huu uzi nikasoma,ila kilichoandikwa na picha iliyoambatanishwa inaondoa umakini wa kinachoombewa ushauri. Hata hivyo nimeona nikushauri kwa yangu machache.
1. Ndoa hasa ya mkristo haivunjwi ISIPOKUWA kwa habari ya uzizi pekee.
2. Pili kila mmoja amekuwa na makuzi yake peke yake akiamini anachokifanya tena ukimuuliza atakupa sababu zake anazoamini ni za msingi
3. Miaka mliokaa ni michache mno mno kuanza kulia kwamba habadiliki watu mpaka miaka 20 ya Ndoa bado wanafanya adjustment
4. Unapomnyooshea kidole mwenzako kumbuka vidole vinne vilivyobaki vinanyooshea kwako. JE WEWE UNA MAPUNGUFU GANI? YAPI NI MATATIZO YAKO? na yy anayavumilia? mangapi unayafanya unavumiliwa?
5. Mungu anachukia kuachana. Na mwanzo wa kumwacha mwenzako ni mwanzo wa shida zako(mwenzako kakuletea baraka na halfway nuksi kwako ). Wakristo tunaambiwa mpende adui yako msamehe anayekuudhi. Na msamaha hapa ni saba mara sabini.
Mwisho kumbuka watakao kushauri humu wengi yao yamewashinda na wanataka ushindwe na wewe. MPENDE SANA MKEO NA YEYE ATAKUTII WALA HAIITAJI NGUVU. Waswahili wanasema mpige mkeo kwa upande wa khanga
 
Nikisoma thread hi nagundua kwanza maisha yako ni super
Na kwa ufahamu wangu wanawake wengi huitaji mwanaume super kwenye maisha yao
Ukiona all of it unafanya na bado halidhiki japo sipo kwenye ndoa basiiii fanya yafuatayo
Tafuta wazee waongee nae aseme anataka nini
Au kwakutumia malafiki zake pia.... Si suggest nyie kutengana sababu ndoa muunnganishaji ni mungu....... Na mimi sio mungu

Yakikushinda bas pita hivi apite hivi
 
pole sana kwakweli hilo la kuchukua pesa akaenda kununua ujinga na si kwaajili ya ndani kwake ni mashost hapana halivumiliki, usibaki na mtu ili akuue kabisa kwa presha fukuza aende ndo ayajue maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…