Huyu kanichosha

Huyu kanichosha

Huyo pichani ndo mkeo au huo Ni mfano tu
Sorry kwa kutoka nje ya maada chief
Mambo Kama haya ndo maana dakika ya mwisho nasemaga sitakuja h kuoa nitaishi single Kama yesu masiah.mbona hakuwa hata na uhusiano na mwanamke Wala hakujibebesha majukumu lakini amekufa akiwa most succesfull man in the history.
umejuaje!
 
je mkeo anafanya kazi benk.....aisee kama mkeo ni bank teller ni nooma...maana kwanza anachelewa kurud nyumbani then anakua mkali xana vilevile wengi wao huliwa
 
Mkuu huyu napiga chini
Nina moyo wa huruma lakin kwa hii kesi yako, ndo ingekuwa mimi cjui, juzi tuu hapa wangu kapata hasara ya 1.2m dukan, nimempiga biti la kufa mtu na kumuongezea madaftar ya kuandika kila senti inayoingia na kutoka dukani na kamera za siri bila yeye kujua. Hawa viumbe hawa cjui tatizo nn maana wakiwa hoi kwenye wallet zao wanatia huruma kweli lakin wakizipata mmmmmhhhh
 
Mi nilimfungia wife duka la simu na mpesa nikampa mtaji wa mil2 nikamwambia awe anatumia kamisheni tuu kwa shida yake!
Matokeo yake kila kitu kikipita pale dukani lazma atanunua hata km tunacho nyumbani.
Polepole nikajikuta nalifunga duka maana siku ingine analifunga kabisa hafungui eti anaenda shoppingi
 
Shenzi type hawa wanawake. Tuliotamani sura na shepu kumbe kichwani weupe kabisa
ndomana vijana wasaivi wanatamani wanawake waajiriwa tu
Mi nilimfungia wife duka la simu na mpesa nikampa mtaji wa mil2 nikamwambia awe anatumia kamisheni tuu kwa shida yake!
Matokeo yake kila kitu kikipita pale dukani lazma atanunua hata km tunacho nyumbani.
Polepole nikajikuta nalifunga duka maana siku ingine analifunga kabisa hafungui eti anaenda shoppingi
 
Naitwa Mr. Brian (Sio jina langu halisi). Umri wangu ni miaka 35 kwa sasa. Nilioa miaka mitano iliyopita na mke wangu hivi sasa anayo miaka 28.

Kusema kweli naipenda familia yangu na kama mwanaune najitahidi sana kuihudumia. Nyumbani kwangu tunao mabinti wawili wa kazi. Mmoja kwa ajili ya kusaidia kazi za ndani na mwingine kusaidia kulea watoto wetu mapacha wenye umri wa miaka miwili hivi sasa.

Pamoja na yote nayojitahidi kumtimizia mke wangu, yeye amekuwa mtu ambaye hatimizi majukumu yake kama mke.

Amekuwa na ile aina ya maisha ya mitandaoni, kwanza ni mtu wa kushinda sana Instagram, facebook, Watsapp, Snapchat na Jamii Forums

Katika Page zote za Umbea umbea, page za maeneo ya starehe, hoteli za hadhi hakosekani. Hana muda kabisa wa kunipikia chakula, kunifulia nguo na kazi nyingine zote wanafanya wadada wa kazi.

Nilimtafutia kazi katika kampuni fulani, alifanya kazi miezi miwili tu na kuacha maelezo yake eti mshahara ni mdogo mno ukilinganisha na elimu yake. Kumbe aliniongepea kwani ukweli ni kwamba alifukuzwa kutokana na uzembe kazini.

Sikuona tabu, nikamfungulia duka la bidhaa za nyumbani (mini-shop), lakini biashara hata ikawa haistawi, nilivyofanya uchunguzi nikaja kugundua kuwa sababu ni lugha yake mbovu kwa wateja kiasi ya kwamba ilikuwa haipiti siku bila kugombana na wateja kadhaa jambo lililofanya wateja kukimbia.

Nimechukua maamuzi mara kadhaa ya kumrudisha kwao lakini amekuwa akilia na kudai nimsamehe atajirekebisha lakini wapi, hubadilika muda mfupi na kurudi kwenye ujinga wake.

Jambo kubwa ambalo limefanya mpaka uvumilivu unishinde ni hili; Juzi kati kuna fedha Milioni mbili na nusu niliipata baada ya kuuza mazao yangu, kwa kuwa ile fedha nilipewa cash na ilikuwa siku ya Jumamosi usiku nikaazimia Jumapili baada ya kutoka Kanisani nakaiweke benki kupitia Wakala wa Fahari Huduma.

Kumbe mwenzangu aliziona, akachukua na kwenda kununua furniture, Oven, Friji na vikolombwezo vingine kwa ajili ya kumpa rafiki yake ambaye alikuwa anafanyiwa kitchen party Wiki iliyokua inafuata. Nilipomuuliza akawa akinipa stori za alufu ulela ulela. Hazina miguu wala mikono.

Nafikiri sasa nimechoka rasmi, hapo sijazungumzia masuala ya kunyimwa unyumba. Nafikiria Kutalakiana nae. Maana nahisi muda wowote naweza nikafa kwa pressure nikaacha wanangu bado wadogo.

Je , niko sahihi kwa maamuzi ya kumpa talaka nilee tu watoto mwenyewe maana sioni msaada wowote!View attachment 1094860
Mkuu kwenye maktaba yako kama zipo picha nyingne Kama hizi nisaidie tafadhali Kama hutojali


[emoji124]
 
Pole kwa yanayokukuta;
Nimesoma kwa umakini na kugundua kuwa wewe ndio tatizo; Unalalamika bila kuchukua hatua.
Endelea kulalamika, mpaka utakapochukua hatua.
Ukweli ni huu
1. Huyu mwanamke hakupendi
2. Anakudharau
3. Ameshajua wewe ni mtu wa kulalamika na huchukui hatua
4. Kama anakunyima unyumba jua kuwa ana kijana anamkuna.

Nikutakie kila la kheri kwenye majukumu yako.
 
Atapaa kwenda kwao[emoji34][emoji34]
Pole kwa yanayokukuta;
Nimesoma kwa umakini na kugundua kuwa wewe ndio tatizo; Unalalamika bila kuchukua hatua.
Endelea kulalamika, mpaka utakapochukua hatua.
Ukweli ni huu
1. Huyu mwanamke hakupendi
2. Anakudharau
3. Ameshajua wewe ni mtu wa kulalamika na huchukui hatua
4. Kama anakunyima unyumba jua kuwa ana kijana anamkuna.

Nikutakie kila la kheri kwenye majukumu yako.
 
Mkuu kwenye maktaba yako kama zipo picha nyingne Kama hizi nisaidie tafadhali Kama hutojali


[emoji124]
Zipo nyingi mkuu unataka za aina gani?weka mamba pm ya wasap hadi video utapata
 
Huyo pichani ndo mkeo au huo Ni mfano tu
Sorry kwa kutoka nje ya maada chief
Mambo Kama haya ndo maana dakika ya mwisho nasemaga sitakuja h kuoa nitaishi single Kama yesu masiah.mbona hakuwa hata na uhusiano na mwanamke Wala hakujibebesha majukumu lakini amekufa akiwa most succesfull man in the history.
Atakuwa anafanana
 
Onana na viongozi was dini wawaweke chini naiman atabadilika tu, wanawake akili zetu twazijua wenyewe tukiachwa ndo twaanza kulia lia.
Kuonana na viongozi wa dini ni shauri mbovu zinazoshauriwa kwa wengi.Viongozi hao wa dini nao wana matatizo lukuki ndani ya ndoa zao watawezaje kutatua changamoto za wengine?
Mwanaume halisi maamuzi huyatoa bila kuogopa ama kufikiria kuwa jamii yaweza kukutenga.Huyu kiumbe aliyeelezewa na huyu mwanamume hana sifa ya kuendelea kuwa mke wa mwanaume bora.Anafaa kuwa mke wa walevi,malaya na mashoga.
 
blaza, nilipofika kusoma sehemu uloandika kachukua hela kaenda kununua jokofu, roho imeniuma sana. dah, pole blaza.
jitenge na huyo binti atakuingiza kwenye umaskini.
mimi nipo napambana na wangu hapa ananunanuna hovyo habadiliki hata umuelekezeje anajisahau sana.
nashkuru Mungu sijamuoa na dalili za kuoa naona zinaanza kupotea, ni jipu huyu, kisirani mno, sometimes nasema labda kwasababu bado mdogo akikua ataacha ila kuna roho inanambia ntachomwa na jua sana huko mbeleni.

fukuza huyo mwanamke hata akiomba msamaha puuzia usiwe na huruma kama mimi huruma inatukosti sana kaka.
Wakwangu juzi juzi kajitia wehu eti ameona namba ya mtu huwa inanipigia mara nyingi kavizia nimekwenda bafuni kachukua simu yangu na kumpigia" et ww nani nimeona huwa unaongea na mume wangu" majibu aliyokutana nayo sidhani kama atarudia kufanya huo ujinga.
 
Back
Top Bottom