Huyu kanipania sana. Kaja kabisa kwenye pochi nadhani hivi ni Vipipi vya Utamu

Huyu kanipania sana. Kaja kabisa kwenye pochi nadhani hivi ni Vipipi vya Utamu

Maxence Melo mzee una kazi kubwa sana ya kusafisha hili jukwaa...

Limejaa habari nyingi sana za uongo uongo...

Screenshot_20230218_194614_Chrome.jpg


 
😂😂😂😂😂😂 Og og og
Niliwahi.....kuna mdada alipita home kama mmachinga anauza nikanunua nijaribu, nikaviweka jikoni ili nimalize kazi then nile vipipi tayari kwa shughuli, nikala kimoja baada ya muda nikahisi mapigo ya moyo yanaenda kasi.... nimemaliza kazi ndio naenda nikale sasa nikakuta mtoto wangu kavitupa kwenye maji....sikuchukia nilihisi kuna kitu nimeepushiwa
 
Niliwahi.....kuna mdada alipita home kama mmachinga anauza nikanunua nijaribu, nikaviweka jikoni ili nimalize kazi then nile vipipi tayari kwa shughuli, nikala kimoja baada ya muda nikahisi mapigo ya moyo yanaenda kasi.... nimemaliza kazi ndio naenda nikale sasa nikakuta mtoto wangu kavitupa kwenye maji....sikuchukia nilihisi kuna kitu nimeepushiwa
😂😂😂😂 Uwoga tuu....
Fanya utafite tena vipipi
Alafu ulete mrejesho huku....
 
ukienda msalimie sana aunkle Magu, mwambie sahivi Sabaya ametiwa Mabaroni, hatuji atatoka lini!! Mnyeti hana hoja zamani alikua akiongea anachekewa chekew, sahiv anaonekana pimbi mmoja tu, Ally hapi sahivi analima pilipili na kufuga mbuzi, Makonda yeye sahivi anavaa nguo chafu ananunua mihogo anakula barabarani tumwonee huruma, yaan fujo fujo tuu!!
 
Back
Top Bottom