Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kwa kiswahili puliziHIV IS NOT A MYTH
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kiswahili puliziHIV IS NOT A MYTH
Am not good at kiswahili 😁Kwa kiswahili pulizi
😳😳 Jaribu kidgo tuu...Am not good at kiswahili 😁
Am not good kiukweli, because this yani....fck English is hard nyie 🤣😳😳 Jaribu kidgo tuu...
😂😂😂😂😂 sawa... Ushawahi kuviona vipipi ..?Am not good kiukweli, because this yani....fck English is hard nyie 🤣
Nilishawahi dear😂😂😂😂😂 sawa... Ushawahi kuviona vipipi ..?
... Vipipi vyenyewe ndo hivo...Maxence Melo mzee una kazi kubwa sana ya kusafisha hili jukwaa...
Limejaa habari nyingi sana za uongo uongo...
View attachment 2521923
NIH officials: closing treatment gaps critical to ending the U.S. HIV epidemic
Disparities in achieving HIV suppression explored in related NIH-funded study.www.nih.gov
Na kutumia je...?Nilishawahi dear
Vipipi Og au hivi vipipi vya ukimwi?Na kutumia je...?
😂😂😂😂😂😂 Og og ogVipipi Og au hivi vipipi vya ukimwi?
Niliwahi.....kuna mdada alipita home kama mmachinga anauza nikanunua nijaribu, nikaviweka jikoni ili nimalize kazi then nile vipipi tayari kwa shughuli, nikala kimoja baada ya muda nikahisi mapigo ya moyo yanaenda kasi.... nimemaliza kazi ndio naenda nikale sasa nikakuta mtoto wangu kavitupa kwenye maji....sikuchukia nilihisi kuna kitu nimeepushiwa😂😂😂😂😂😂 Og og og
😂😂😂😂 Uwoga tuu....Niliwahi.....kuna mdada alipita home kama mmachinga anauza nikanunua nijaribu, nikaviweka jikoni ili nimalize kazi then nile vipipi tayari kwa shughuli, nikala kimoja baada ya muda nikahisi mapigo ya moyo yanaenda kasi.... nimemaliza kazi ndio naenda nikale sasa nikakuta mtoto wangu kavitupa kwenye maji....sikuchukia nilihisi kuna kitu nimeepushiwa
Hapana....umri nao ushasogea hayo mambo nawachia wanangu sasa....mi nakaribia kujaza likizo za kustaafu 😁😂😂😂😂 Uwoga tuu....
Fanya utafite tena vipipi
Alafu ulete mrejesho huku....
Sina neno hapo.... 🙌🙌🙌🙌Hapana....umri nao ushasogea hayo mambo nawachia wanangu sasa....mi nakaribia kujaza likizo za kustaafu 😁
TLD nini😂😂😂 naona umekuja kuchekesha watu tuu
MUHA weee.Hivyo vipipi wanavyouzwa na makungwi wa Insta mbona sio kama hivyo vyako?
Umepigwa braza