Huyu Kazadi ni hatari! Singida Big Stars hapa mmelamba dume

Huyu Kazadi ni hatari! Singida Big Stars hapa mmelamba dume

BRN

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
5,188
Reaction score
6,633
Huyu jamaa hatari leo kwenye nusu fainali za Kombe la Mapinduzi amefunga goli nne za akili kubwa sana na kufanya jumla ya magoli aliyofunga kuwa tano.

Singida Big Stars hapa mmelamba dume. Ngoja sisi tuwasubiri akina Musonda, Bobosi na Manzoki.
 
Bobosi katimkia kwa Biden, Manzoki wiki lililopita alikuwa anasafari ya kuja bongo

Dirisha dogo bado halijafungwa wacha tuone ila ana 85℅ za kutua unyamani
Ashuke tu moja kwa moja huko Dubai
 
Magoli 3 uzembe wa kipaaaa.

Azam wafanye watafute kipaa khaaah.
 
Huyu jamaa hatari..leo kwenye nusu fainali za kombe la Mapinduzi amefunga goli nne za akili kubwa sana na kufanya jumla ya magoli aliyofunga kuwa tano.
Singida Big Stars hapa mmelamba dume..ngoja sisi tuwasubiri akina Musonda,Bobosi na Manzoki.

Ayo mapinduzi tayari kashakuwa mchezaj hatari
 
Anaonesha Ana ufundi na uchu wa kufunga magoli .
Goli la kwanza hakudharau au kukata Tamaa alijua akitumia kasi na akili anaweza kumnyang’anya Mpira Kipa na Kufunga

Goli la pili alijua kukaa sehemu muafaka ya kupokea pasi na Kufunga

Goli la Tatu Hata ulaya na Africa makipa wanatoka langoni lakini namna alivyolenga Mpira golini kwa umbali ule ni pure talent

Goli la nne shuti la kushitukiza alilopeleka Kona ya pembeni ya Goli kipa yoyote ingemletea shida
 
Huyu jamaa hatari..leo kwenye nusu fainali za kombe la Mapinduzi amefunga goli nne za akili kubwa sana na kufanya jumla ya magoli aliyofunga kuwa tano.
Singida Big Stars hapa mmelamba dume..ngoja sisi tuwasubiri akina Musonda,Bobosi na Manzoki.
Muongeze na huyo Kazadi kwani Singida ni kijitawi chetu tunaokote yeyote tumtakae wakati wowote
 
Nilijua kazadi wa Massoud Massoud TBC TAIFA.

KIPINDI CHA DAMKA WEEKEND.
05:15
 
Uki search Google
Screenshot_20230108-202146_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230108-202146_Chrome.jpg
    Screenshot_20230108-202146_Chrome.jpg
    184.1 KB · Views: 3
Bobosi katimkia kwa Biden, Manzoki wiki lililopita alikuwa anasafari ya kuja bongo

Dirisha dogo bado halijafungwa wacha tuone ila ana 85℅ za kutua unyamani
kwaiyo uliwasiliana na manzoki akakuhakijishia anakuja au ni taarifa za kuzoa zoa.
 
Back
Top Bottom